• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

MNYETI AITAKA BABATI MJI KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO.

Imechapishwa Tarehe: June 26th, 2019

Mkuuwa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti ameitaka Halmashauri ya Mji wa Babati kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza mapato ya Halmashauri hiyo.

Mh.Mnyeti amesema hayo jana Jumamosi alipokuwa akihutubia Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo lililokaa kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Mheshimiwa Mnyeti alisema kuwa haridhishwi na kiwango cha ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri hiyo ambayo kwa mwaka inakusanya shilingi Bilioni 1.2 tu.

“Kwa mapato haya ya Bil. 1.2 hakuna mnachokifanya,hamuwezi kuendesha Halmashauri kwa mapato madogo kiasi hiki” Alisisitiza Mkuu wa Mkoa.

Akitolea mfano kwa Halmashauri zinazomiliki timu za mpira kama Ruangwa,Mbeya na Kinondoni Mh.Mnyeti aliwataka Madiwani na Wataalam wa Halmashauri hiyo wakajifunze juu ya kuendesha timu na viwanja vya michezo kama uwanja wa Kwaraa uliopo ndani ya Halmshauri ya Mji wa Babati kwa kuujengea majukwaa ili viingilio vitokanavyo na uwanja viingie katika mapato ya Halmashauri.

Mheshimiwa Mnyeti alitoa ahadi ya kutafuta wafadhili wa kutengeneza sehemu ya kuchezea na kuwataka Madiwani kuanza mchakato wa ujenzi wa uzio uwanjani hapo.

“Zungushieni uzio uwanja wote mimi pale pa kuchezea nitawatafutia mdhamini atawajengea” Alisema Mheshimiwa Mnyeti.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara yupo kwenye ziara ya kutembelea mabaraza ya Madiwani Mkoani Manyara yanayojadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali.

(Kwa picha mbalimbali  angalia sehemu ya  Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha)

Imeandikwa na:Haji A.Msovu

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Vijana Kiteto wanufaika na Mikopo ya Halmashauri

    January 05, 2021
  • Babati watakiwa kuchangamkia Mikopo ya Serikali

    January 04, 2021
  • Waziri wa Kilimo awataka Wakulima wa ngano kuongeza uzalishaji

    December 24, 2020
  • Njooni muwekeze Manyara- RC Manyara

    December 22, 2020
  • Tazama Zote

Video

Nangwa Sekondari katika muonekano mpya
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2020 Manyara Region . All rights reserved.