• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MAKAMU WA RAIS AKIWA BABATI

Baadhi ya vikundi mbalimbali vya burudani wakiwa huko Minjingu kumpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea kiwanda cha Mbolea cha Minjingu 16 Novemba,2018.

Mkurugenzi wa Kiwanda cha Minjingu Bw. Hans Toxic akimkarisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika kiwanda cha Minjingu 16 Novemba,2018.

kutoka kushoto Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya yaBabati Bw.Hamisi Malinga, Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo, Wziri wa Madini Mh.Angella Kairuki na baadhi ya viongozi wakiwasili katika kiwanda cha Minjingu kumpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Wabunge na wananchi waliojitokeza kumpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan huko Minjingu 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi huko Minjingu 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi huko Minjingu 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi huko Minjingu 16 Novemba,2018.

Mbunge wa Viti Maalumu CCM Mh.Martha Umbullah akiwa na Diwani wa Viti Maalum CCM Mh.Rose Muryang wakiwa katika mkutano wa ndani na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan huko Minjingu 16 Novemba,2018.

Mbunge wa Viti Maalumu CCM Mh.Martha Umbullah na Mkuu wa Idara ya Maji Mkoa wa Manyara Bi. Mary Mbowe wakiwa katika mkutano wa ndani na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan huko Minjingu 16 Novemba,2018.

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Babati (BAWASSA) Mhandisi. Iddi Msuya akisoma taarifa ya Mamlaka ya maji kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea BAWASSA 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan(kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya BAWASSA alipotembelea Ofisini hapo 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi katika Jengo la BAWASSA 16 Novemba,2018.

Jiwe la Msingi la Ofisi za BAWASSA lililowekwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi katika Jengo la BAWASSA 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akipewa maelezo juu ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara alipotembelea Hospitali hiyo 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akipewa maelezo juu ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara alipotembelea Hospitali hiyo 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akikagua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara alipotembelea Hospitali hiyo 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni alipowasili Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara 16 Novemba,2018.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bw.Missaile Musa akisoma taarifa ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea Hospitali hiyo 16 Novemba,2018.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa 16 Novemba,2018.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Damas kayera akitoa maelezo kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara 16 Novemba,2018.

Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI Mh.Suleiman Jaffo akiongea kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara 16 Novemba,2018.

Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI Mh.Suleiman Jaffo akimtambulisha Mbunge wa Babati Mh.Pauline Gekul wakati wa ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiongea na wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara alipotembelea Hospitali hiyo16 Novemba,2018.

Jiwe la Msingi la Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara lililowekwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw. Fortunatus Fwema aliapozindua Barabara za lami za Mjini Babati 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Afisa Mipango wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw.Khamis Katimba aliapozindua Barabara za lami za Mjini Babati 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akizindua Barabara za Lami mjini Babati 16 Novemba,2018.

Kutoka ushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw.Kibiki Mohamed,Mkuu wa Wilaya ya Babati Bi.Elizabeth Kitundu na Mbunge wa Babati Mh.Pauline Gekul wakiwa katika mradi wa Barabara za lami uliozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan 6 Novemba,2018.

Jiwe la Msingi la Barabara za lami Mjini Babati lililowekwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan 16 Novemba,2018.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw.Fortunatus Fwema akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi wa Barabara za lami kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan 16 Novemba,2018.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan akiwasili katika viwanja vya Kwaraa kufanya mkutano wa hadhara 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Viongozi wa CCM Mkoa wa Manyara wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Mkuu wa Wilaya ya Babati Bi. Elizabeth Kitundu akisoma taarifa ya wilaya kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika Viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Viongozi wa vikosi vya ulinzi na usalama Mkoa wa Manyara wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Viongozi wa CCM Mkoa wa Manyara wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Viongozi wa CCM Mkoa wa Manyara wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya Viongozi wa CCM Mkoa wa Manyara wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano wa hadhara na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Kwaraa 16 Novemba,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.