• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

HOSPITALI YA MKOA WA MANYARA YAPATA BODI YA USHAURI

Imechapishwa Tarehe: June 19th, 2018


Bodi mpya ya Hospitali ya rufaa Mkoa wa Manyara imezinduliwa leo tarehe 19/06/2018 katika Jengo la Ofisi za Mkuu wa Mkoa Manyara.

Akizungumza katika uzinduzi huo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhandisi Raymond Mushi aliwataka wajumbe wa Bodi hiyo kushirikiana na wataalam ili kuwaletea huduma bora wananchi wa Mkoa wa Manyara na mikoa ya jirani.

Pia aliwahakikishia wananchi wa Mkoa wa Manyara kuanza kupata huduma zote mara baada ya ujenzi kukamilikam kwani kwa sasa baadhi ya huduma kama X-Ray hazipatikani.

Aidha Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliwapongeza wajumbe kwa kuteuliwa kwao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo kwani tangu kuanzishwa kwa hospitali hityo haijawahi kuwa na bodi ya ushauri tangu kuanzishwa kwake.

Akizungumza kabla ya kumkaribisha MMgeni rasmi Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bwana M.A.R Musa aliwahakikishia wananchi kuwa pamoja na hospitali kuwa chini ya Wizara ya Afya,maendeleo ya jamii,jinsia, wazee na watoto lakini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itahakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya kwa kufuatilia maendeleo ya hospitali hiyo.

Akishukuru kwa niaba ya wajumbe wa Bodi hiyo Mwenyekiti wa bodi Dkt.Samwel Ulomi alisema kuwa watajitahidi kadri ya uwezo wao katika kutoa ushauri kwa wataalam wa Hospitali hiyo ili wananchi wafurahie huduma zitolewazo hospitalini hapo.

Wajumbe wa Bodi hiyoni

1.Dkt.Samuel Shilet Ulomi – Mwenyekiti

2.Dkt.Katherine Magali –Katibu

3.Namayani Rapey Edward –Mjumbe

4.Mohamed Arshad Bajwa- Mjumbe

5.Ronald Paul –Mjumbe

6.Dkt.Damas Kayera –Mjumbe

7.Saburi Yakubu –Mjumbe

8.Dkt.Charles Mtabho- Mjumbe

9.Dkt.Yohana Minthey Naasi- Mjumbe

10.Leonard R.Msami –Mjumbe

11.Theonestina Rwechungura-Mjumbe

12.Abdallah Kilobwa-Mjumbe

Imeandikwa na: Haji A.Msovu(Afisa Habari Mkoa wa  Manyara)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.