• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Jumla ya Shilingi Bilioni 20.7 zatengwa kuimarisha miundombinu ya Barabara TARURA.

Imechapishwa Tarehe: November 29th, 2023

Na Nyeneu, P. R - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Kwa mwaka wa fedha 2023-2024, TARURA Mkoa wa Manyara imetengewa Bajeti ya kazi za matengenezo ya barabara, miradi ya maendeleo, shughuli za utawala na usimamizi wa miradi kwa ujumla wa Shilingi 20,716,671,301.98. Hayo yamesemwa na Mhandisi Magiri Kaimu Meneja TARURA Mkoa wa Manyara wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ujenzi na matengenezo ya barabara kwenye kikao cha kwanza cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Manyara kilichoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga Novemba 28, 2023 katika ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Aidha, kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, TARURA Mkoa wa Manyara imepanga kutekeleza miradi ya maendeleo kwa ujumla wa barabara za lami km 11.20, barabara za changarawe km 251.67, ujenzi wa madaraja mapya 26, kalivati 7, mitaro ya maji ya mawe na zege mita 1,920 kwa makisio ya Shilingi 14,550,000,000 Pia, Wakala hiyo imepanga kuweka taa za mwanga barabarani 241 kwa Shilingi 1,077,740,000 katika Wilaya za Babati, Hanang’, Mbulu, Kiteto na Simanjiro.

Vilevile Mhandisi Magiri ameeleza kuwa pamoja na kazi zote, Wakala inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uharibifu wa miundombinu hasa mifereji, kung’olewa kwa alama za barabarani na uvamizi wa hifadhi ya barabara kwa shughuli za kiuchumi na kijamii.

Wakala wa Barabara za Vjijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Manyara inasimamia mtandao wa barabara wenye urefu wa kilomita 6,759.726. Kati ya hizo kilomita 2,314.993 ni Barabara unganishi (Collector Road), kilomita 3,209.638 ni Barabara ujazio (Feeder Road) na kilomita 1,235.095 ni Barabara Jamii (Community Road). Barabara za lami ni kilomita 30.634, barabara za changarawe ni kilomita 1,558.858 na barabara za udongo ni kilomita 5,170.234.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.