• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Maktaba ya Kisasa Kujengwa Manyara

Imechapishwa Tarehe: February 26th, 2024

Na Nyeneu, P. R - Mjini Babati

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga amefungua Warsha na Mkutano mkuu wa mwaka 2024 wa Chama cha Wakutubi Tanzania chenye lengo la kujadili Mabadiliko kwa ajili ya Mazingira Endelevu ya Kidijitali katika Ukutubi na Sayansi kilichofanyika Mjini Babati Februari 26, 2024.

Mhe. Mkuu wa Mkoa akijibu hoja iliyotolewa kwenye risala ya chama hicho kuhusu mkoa wa Manyara kukosa maktaba, ameahidi kuwa Ofisi ya mkuu wa Wilaya wameahidi kutoa eneo kwaajili ya kuanza ujenzi mara moja wa maktaba ya mkoa. Aidha sendiga amewashauri wakutubi nchini kuwa sehemu ya kusoma vitabu badala ya kuwa watunzaji pekee katika maeneo wanakofanya kazi hiyo ya ukutubi.

Vilevile Mkuu wa Mkoa amekipongeza Chama cha Wakutubi Tanzania kwa uamuzi wao wa kuchagua Mkoa wa Manyara, na hususan Mji wa Babati kuja kufanyia Warsha na Mkutano Mkuu wa mwaka kwa mara ya kwanza tangu Chama kilipoasisiwa mwaka 1973. “Naamini uchaguzi ulitokana na sio tu urahisi wa kufika hapa Babati kutokea kona zote za Jamhuri yetu, bali pia uwingi na ubora wa vivutio vya utalii vya kiwango cha kimataifa, Hongereni sana”. Alisema Mkuu wa Mkoa.

RC Sendiga amewashauri Chama cha Wakutubi nchini kuongeza ubunifu katika kuendana na kasi ya utandawazi ili kuweza kuhamasisha jamii kujitokeza kusoma vitabu. Mkuu wa Mkoa ameongeza na amesema ni lazima Chama hicho sasa kifikirie mbali zaidi katika kukuza na kubadilisha sekta hiyo ya usomaji wa vitabu ili kuendana na ulimwengu wa kidijitali.

Akisoma risala yao kwa mgeni rasmi Ndg LEONTIN NKEBUKWA Mwenyekiti wa TLA ameiomba serikali kuingilia kati tabia ya waajiri wa baadhi ya taasisi kutowapa haki wakutibu wao kujiunga na Chama hicho hali inayopelekea kukosa fursa ya kueleza kero mbalimbali zinazowakabili kupitia Chama hicho.

Pamoja na hilo ndg Nkebukwa ameomba uwekezaji ufanyike kwenye sekta hiyo katika uwekezaji wa miundombinu ya kidijitali kuendana na kasi ya mabadiliko ya dunia ya sasa ambapo ametaja baadhi ya mahitaji muhimu kuwa ni pamoja na kompyuta na kamera.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

    September 12, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA ATETA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • RC SENDIGA AWATAKA WAMILIKI WA MIGODI SIMANJIRO KUJIKITA KATIKA KUPUNGUZA UGONJWA WA TB NA SILICOSIS

    October 20, 2025
  • WAJASIRIAMALI MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUONGEZEA THAMANI MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MIKUNDE

    October 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.