• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MANYARA MKOA WA MADINI TANZANIA

Imechapishwa Tarehe: December 18th, 2018

Mkoa wa Manyara unaopatikana kaskazini mwa Tanzania una wilaya tano ambazo ni Babati,Simanjiro,Kiteto,Hanang na Mbulu. Ni Mkoa ambao unaongoza kuwa na madini ya aina mbalimbali hapa nchini.

Mkoa wa Manyara umebahatika kuwa na madini katika kila wilaya kiasi ambacho unaweza kusema hakuna mkoa wowote Tanzania ambao wilaya zake zote zina utajiri wa madini na hii ndo sababu tunaweza kujivunia na kuuita Mkoa wa Madini na kudhihirisha msemo wetu unaosema “Manyara the home of Minerals”

Akisoma taarifa ya Mkoa wa Manyara kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan alipofanya ziara yake Mkoani Manyara huko Mirerani Wilayani Simanjiro tarehe 14 /11/2018 Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti alionesha jinsi gani Mkoa wa Manyara una hazina kubwa sana ya madini nchini Tanzania.“Mh. Makamu wa Rais yaani kwa utajiri huu wa madini yaliyopo Manyara hata madini mengine hayajaanza kuchimbwa kwa hiyo tunawaombawawekezaji wa ndani na nje kuja Manyara kuwekeza katika sekta ya madini” Alisema Mh.Mnyeti.

Ili kuonesha jinsi gani Mkoa wa Manyara ni tajiri katika madini angalia jinsi kila wilaya ya Mkoa wa Manyara ilivyo na madini

Babati hunapatikana madini aina ya Emerald,Alexandrite,Almandite,Aventurine na Pozzzolana.

 Almandite

 Alexandrite

Pozzzolana

Aventurine

Emerald

Simanjiro kuna madini ya Tanzanite,Tsavorite,Toummaline,Rhodolite,Graphite,Grossulanite,Lolite,Amethst,Ruby na Limestone.

Tanzanite


 Rhodolite

Grossulanite

Graphite

Tsavorite

Ruby

Mbulu pia kuna madini ya Pose Quartz,Gold (Dhahabu) na Pyrite

Pose Quartz

Pyrite

Gold (Dhahabu)

Madini aina ya Obsidian,Topaz na Salt(Chumvi) yanapatika katika wilaya ya Hanang.

Topaz

Obsidian

Salt(Chumvi)

Katika wilaya ya Kiteto unaweza kupata madini ya Ruby,Aquamarine na Moonstone

Aquamarine

Ruby

Moonstone

Upatikanaji wa madini hayo ndani ya Mkoa wa Manyara unaongeza kipato cha wananchi kwa kutoa ajiara za moja kwa moja kwani wamiliki wa viwanda wataajiri vijana kutoka mkoani Manyara  kwa mfano kiwanda cha Madini ya Graphite kilichopo Mirerani katika wilaya ya Simanjiro kimeajiri wafanyakazi mia tano!! na pia kuna ajira zisizo za moja kwa moja kama mama lishe, wafanyabiashara mbalimbali N.K.

Hakika “Manyara the home of Minerals”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.