• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Nane nane Kanda ya Kaskazini yanoga

Imechapishwa Tarehe: August 5th, 2020

Wakulima, Wavuvi na Wafugaji wametakiwa kuzalisha mazao yenye tija yatakayo ongeza upatikanaji wa chakula kwa wananchi na kuongeza pato la mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Ameyasema hayo Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba alipokuwa akifungua maonesho ya 27 ya Kilimo na sherehe za nanenane kanda ya Kaskazini katika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha.

“Sekta ya Kilimo ina umuhimu mkubwa sana katika kukuza uchumi wa nchi kwani ni sekta inayoajiri watanzania zaidi ya asilimia 75”,alisema Mgumba.

Amesema ni jukumu la kila mkulima,mvuvi na mfugaji kuhakikisha anazalisha kwa wingi mazao mbalimbali kwa kutumia elimu na teknolojia watakazozipata katika maonesho hayo.

Hata hivyo, serikali ya awamu ya tano bado imeweka nguvu kubwa katika sekta hizo kwa kurudisha serikalini mashamba ya Basutu yaliyopo Mkoani Manyara ili yagawiwe kwa wananchi kwa lengo la kuendeleza Kilimo.

Pia, serikali imejenga vihenge vya kuhifadhi chakula kinachonunuliwa na serikali, na kuruhusu ndege takribani 4 zitakazotumika katika kusafirisha mazao ya Maua, Matunda na Mbogamboga katika nchi za Ulaya na Uarabuni, hii yote itaongeza ukuwaji wa soko la uhakika katika sekta hiyo.

Amewataka wakulima, wavuvi na wafugaji kusambaza elimu hiyo watakayoipata katika maonesho hayo hadi kwa wakulima wa ngazi ya kata na vijiji katika kukuza sekta hiyo.

Akitoa neno la ukaribisho Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta amesema, maonesho hayo hayatakuwa na tija ikiwa kama hayataleta mabadiliko katika sekta hizo za Kilimo, Uvuvi na Ufugaji.

Hivyo, amesisitiza tathimini ifanyike mapema ili iweze kutoa mwelekeo mapema wa maonesho hayo kwa baadae na mabadiliko kwa ujumla.

Mwenyekiti wa kamati ndogo ya maandalizi Bwana Richard Kwitega amesema, jumla ya waoneshaji 350 wameshajiandikisha katika maonesho ya mwaka 2020 na wanatarajia idadi kuongezeka zaidi.

Maonesho ya sherehe za nanenane kwa kanda ya Kaskazini yanafanyika kwa mara ya 27 na Kitaifa yanafanyika katika viwanja vya Nyakabimbi Mkoani Simiyu na kilele chake kinatarajia kuwa Agosti 10,2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.