• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Wakulima tumieni mbolea inayozalishwa Tanzania-Katibu Mkuu Kilimo.

Imechapishwa Tarehe: August 28th, 2020

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Bwana Gerald Musabila Kusaya amewataka wakulima nchin kutumia mbolea zinazozalishwa nchini Tanzania.

Katibu Mkuu ameyasema hao leo Agusti 28,2020 akiwa katika ziara ya siku moja Mkoani Manyara alipotembelea kiwanda cha kuzalisha mbolea cha Minjingu na kuona ina mbalimbali za mbolea zinazozalishwa katika Kiwanda hicho.

Akiwa kiwandani hapo Katibu Mkuu amevitaka viwanda vya kuzalisha mbolea kuzlisha mbolea bora ili mkulima aweze kupata mazao mengi na bora ili aweze kuinua kipato cha kila siku kwa kulima katika eneo dogo na kupata mazao mengi.

“Tuhakikishe mkulima analimakidogpo na anavuna san ana atumie mbolea bila kulalamika kuwa mbolea aliyoyumia haifai” Alisema Bwana Kusaya.


Katibu Mkuu huyo amesema kuwa kwa wakulima kutumia mbolea zinazozalishwa Tanzania kutasaidia mbolea hizo zipatikane kwa haraka na kwa bei nafuu kwa wakulima, kuonmgeza ajira kwa watanzania na kuongeza pato la Taifa kwa viwanda nchini kulipa kodi kwa nchi.

Kwa upande mwingine Katibu Mkuu huyo amezitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisaha zinakuwa na Maabara za kupima udongo na pia wataalamu wa kilimo kuwapa ushauri wakulima juu ya mbinu bora za kilimo ili kujikwamua na umasikini.

Kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mkurugenzi wa Kiwanda cha Minjingi Bwana Hans Toxic alisema kuwa kiwanda kina matarajio ya kuzalisha tani 500000 za mbolea ifikapo mwaka 2025 na kumuhakikishia Katibu Mkuu kuwa watajitahidi kuzalisha mbolea bora na kuisambaza katika mikoa yote ya Tanzania.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.