• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Ziara ya Mh. Kassim M. Majaliwa Wilaya ya Kiteto

Imechapishwa Tarehe: February 25th, 2017

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa ametembelea Mkoani Manyara Wilaya ya Kiteto,ambapo alipata fursa ya kuongea na wananchi wa Kijiji cha Engusero,kupokea taarifa ya Mkoa na Wilaya, kuongea na Watumishi wa Umma, viongozi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Madiwani; kadhalika kutembelea Hospitali ya Wilaya; Kukagua na kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya,pia kuongea na Wananchi katika Mkutano wa hadhara katika uwanja wa Jamhuri Mjini Kiteto.
Aidha Mheshimiwa Majaliwa aliwasalimia wananchi wa kijiji cha Engusero akiwa njiani kuelekea Kiteto, wananchi walilalamikia kero maji, Kituo cha Afya kutokuwa na chumba cha kuhifadhia maiti, Chumba cha upasuaji wodi ya wagonjwa,Gari ya wagonjwa kuchukuliwa na Halmashauri, na barabara ya lami kutoka Mbande (Kongwa) hadi Kibaya (Kiteto),pamoja na hayo,Wananchi hao walieleza wasiwasi wao mkubwa wa kukumbwa na njaa kutokana na kuwepo kwa viashiria vya ukame,vile vile waliomba kujengewa soko la kimataifa ili kuwezesha kuuza mazao yao bila kusafirisha.
Mheshimiwa Majaliwa aliagiza Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wafike katika eneo husika ili waangalie namna ya kutatua changamoto za Kituo cha Afya,pia viongozi wa halmashauri waende kufanya tathmini na kutoa mapendekezo ya Ujenzi wa soko hilo lililoombwa na wananchi wa Engusero.
Hata hivyo Mheshimiwa Majaliwa aliweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, akiwa katika eneo la mradi alipata fursa ya kukagua jengo hilo ikiwa ni pamoja na kuwapongeza Halmashauri kwa kubuni mradi huo, pia Mheshimiwa Majaliwa aliwataka wasimamie ujenzi huo na kulikamilisha jengo hilo kwa wakati ili thamani ya fedha ionekane, kwani jengo hilo ni kubwa na la kwanza ama la pili nchini baada ya Lushoto na Peramiho.

Mheshimiwa Majaliwa alipata fursa ya kuhutubia katika Mkutano wa Hadhara Uwanja wa Jamhuri Kiteto, akiwa katika mkutano huo alishuhudia maombi maalum yaliyofanywa na viongozi wa kidini na wazee wa kimila, jamii za Kinguu, Kigogo, Kimasai na Kikamba ambao waliunda kamati ya maridhiano na kukubaliana kuzika tofauti zilizowahi kujitokeza baina ya wakulima na wafugaji.

Aidha Mheshimiwa Majaliwa alikutana na changamoto ya maji,barabara,migogoro ya ardhi pamoja na kero za baadhi ya michango katika elimu na kuahidi kuendelea kuzitatua changamoto hizo kwa kutekeleza ilani ya CCM ili kuwaletea wananchi maendeleo na kutatua changamoto zinazowakabili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.