• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

Ziara ya Mh. Waziri Muu Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) Wilaya ya Babati

Imechapishwa Tarehe: February 25th, 2017

Mheshimiwa Waziri Mkuu katika Ziara yake ametembelea pia Wilaya yaBabati na kupatafursa ya kufikaKiwanda cha Mbolea –Minjingu katika Kijiji cha Minjingu na Kiwanda cha Sukari cha Manyara katika Kijiji cha Matufa na kufanya mikutano ya hadhara katika Vijiji vya Minjingu, Matufa, Madunga, Bashnet, Singu na Arri na kutoa majibu ya kero mbalimbali za Wananchi.

Mheshimiwa Majaliwa alikumbana na Changamoto mbalimbali zilizoelezwa na Wananchi katika maeneo hayo ikiwa ni pamoja na shida ya maji, barabara, upungufu wa watumishi katika sekta ya afya, na malalamiko katika shamba la Singu na Arri ambapo aliitolea ufafanuzi changamoto hizo na kuahidi kuendelea kuzitatua ili kuwaletea wananchi Maendeleo.

Aidha Mheshimiwa Majaliwa alikasirishwa na hali aliyoikuta katika Kiwanda cha Minjingu yakutumia vifungashio vinavyotangaza uzalishaji wa mbolea ya Minjingu – Babati kuwa inazalishwa nchini Kenya badala ya Tanzania na kutoa Maagizo kwa Mkurugenzi wa Kiwanda, kumwandikia Mheshimiwa Rais John Pombe Joseph Magufuli barua ya kuomba radhi pia Mhe. Majaliwa apate nakala ya barua hiyo kabla ya kumaliza Ziara yake, tarehe 22 Februari, 2017.Hata hivyo agizo hilo lilitekelezwa na Mheshimiwa Majaliwa alipata nakala hiyo tarehe 21.2.2017.

Hata hivyo,Mheshimiwa Majaliwa alipowasili katika Kiwanda cha Sukari cha Manyara alifarijika sana kuona Mkoa una Kiwanda hicho ikiwa ni juhudi za kuunga Mkono dhamira ya Mheshimiwa Rais ya kuifanya Nchi yetu kuwa ya viwanda na kupunguza uhaba wa Sukari na kutoa ajira kwa wazawa ili waweze kujikwamua na umaskini.

Mheshimiwa Majaliwa,alihitimisha ziara yake katika Mji wa Babati kwa kuweka jiwe la msingi Mradi wa Daraja(boksi Kalvati mbili) katika barabara ya Bonga – Endanachan.Pamoja na Majumuisho na Watumishi alisisitiza uadilifu kwa watumishi katika kuwatumikia wananchi na mapambano dhidi ya dawa za kulevya.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • RC Manyara amaliza Mgogoro wa ardhi baina ya mwekezaji na wananchi

    September 01, 2021
  • Mkirikiti amkabidhi Makongoro Ofisi rasmi

    May 25, 2021
  • Karibu Manyara Mhe. Makongoro Nyerere!!!

    May 22, 2021
  • Tuweke uzalendo ktk kusajili watoto chini ya miaka mitano - RC Manyara

    April 20, 2021
  • Tazama Zote

Video

Asilimia mbili ya mikopo kwa walemavu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2021 Manyara Region . All rights reserved.