• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

Imechapishwa Tarehe: September 12th, 2025

Na, Ruth Kyelula, Manyara RS

Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Manyara,ambazo ni Mbulu vijijini, Mbulu mji, Kiteto,Hanang’, Simanjiro, Babati vijijini na Babati mji, wamehimizwa kuendelea kusimamia kwa bidi utekelezaji wa afua za lishe ili kupunguza udumavu, ukondefu na utapiamlo.

Mkoa wa Manyara umeendelea kusimamia utekelezaji wa hali ya lishe na utoaji wa huduma za lishe kwa kupunguza vifo vya watoto na wajawazito.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga aliyasema hayo katika Mkutano wa Tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa Afua za Lishe Julai 2024 hadi Juni 2025, uliofanyika katika jengo la ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Wilayani Babati Septemba 12, 2025.

Alisema ameridhishwa na kazi kubwa iliyofanyika katika kipindi cha mwaka mmoja (Julai 2024 – Juni 2025) ya kuendelea kusimamia mikataba ya lishe kikamilifu kupitia wakurugenzi wa Halmashauri hizo kwa kutenga fedha za kutatua changamoto mbalimbali.

Mhe. Mkuu wa Mkoa, alisema idadi ya watoto wenye ukondefu imepungua kutoka mwaka 2023/24 ambapo kulikuwa na watoto 21,603 hadi kufikia 2,324 pekee mwaka huu.

“Tumeokoa watoto takribani Zaidi ya 2,000 wamesalimika na utapiamlo, lakini tumewaongezea uhai, nguvu ya Taifa na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa wazazi ya kuwahudumia watoto, kubwa zaidi pia Serikali kuokoa matumizi ya vifaa tiba na madawa ya kuwatunza watoto hao, alisema Sendiga.”


Aidha, alisisitiza watoto kuzaliwa kwa uzito unaohitajika, wanawake kuwahi kliniki pindi wanapogundua kuwa ni wajawazito, kupata elimu ya lishe bora na kuhakikisha wataalamu wa Lishe wanaandaa afua zitakazoleta mabadiliko chanya kwa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • NAIBU WAZIRI WA AFYA AAGIZA MIRADI ILIYOFIKIA ASILIMIA 96 NA 94 IMALIZIKE NA KUANZA KAZI MARA MOJA

    November 26, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA AKABIDHIWA MAJIKO BANIFU 7,914 KWA BEI YA RUZUKU

    November 10, 2025
  • WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

    September 12, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA ATETA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.