• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Huduma za Maji
    • Kitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma ya Maji
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

Kamilisheni Ujenzi wa Maboma ya Sekondari Ifikapo Juni, 30 - Katibu Mkuu TAMISEMI

Imechapishwa Tarehe: May 29th, 2019

Serikali imetenga fedha kiasi cha shilingi Bilioni 29.9 kukamilisha ujenzi wa maboma ya shule za sekondari yapatayo 2,392 nchini ili kuwawezesha wanafunzi wote kuweza kujiunga na elimu ya sekondari katika mwaka 2019.

Akiongea katika ziara yake ya kikazi mkoani Manyara katika shule ya sekondari Nangara na Kwaangw zilizopo Halmashauri ya Manyara Mji Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga amesema Serikali imejipanga katika kuahakikisha mpango wake wa kuwapatia elimu ya sekondari watoto wa Kitanzania inakamilika na hivyo imehakikisha maboma yote ya shule za sekondari yanakamilika kwa wakati na kuanza kutumika kabla ya mwishoni mwa mwezi Juni,mwaka huu.

Amewataka watendaji wote kuongeza kasi ya kusimamia ujenzi wa maboma hayo na kwamba yanakamilika kwa fedha zilizopangwa na kwa ubora unaotakiwa.

Aidha, Nyamhanga amesema Mkoawa Manyara una maboma 139 ambayo baadhi yamekamilika nay ale ambayo bado amemtaka Katibu Tawala Mkoa Manyara Bw. Mussa Masaile na timu yake kusimamia kikamilifu ujenzi huo ikiwa ni pamoja na Makatibu Tawala wa Mikoa mingine nchini.

Vilevile amesema Serikali inapeleka fedha mashuleni shilingi Bilioni 28.5 kupitia Mpango wa Serikali wa Elimu Bila Malipoili kuwawezesha wanafunzi kupata elimu bila kulipia kuanzia shule za awali, msingi hadi kidato cha nne kwa lengo la kumpatia elimu kila motto wa Kitanzania.

Aidha, amesema kiasi kingine cha fedha shilingi 35.2 Bilioni kitatolewa na Serikali katika mwezi huu ili kukamilisha maboma yote ambayo yamesalia.

Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari Babati Mji amesema katika mwaka 2019 hakuna aliyekosa nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza na wataendelea kusimamia miradi ya maendeleo ya sekta ya elimu ikiwemo ile ya Lipa Kulingana na Matokeo (EP4R).

Mhandisi Nyamhanga anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Manyara kujionea utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta za elimu, afya, barabara, mikopo ya vikundi na utawala bora.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019 July 11, 2019
  • HOTUBA YA WAZIRI MKUU KWA MAAFISA HABARI MWANZA March 19, 2019
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • EWURA YAJA NA VITUO VYA MAFUTA VINAVYOTEMBEA NCHINI.

    November 29, 2019
  • EWURA yawataka wadau wa Mafuta MANYARA Kuepuka kuuza Mafuta Kiholela

    November 29, 2019
  • KAMATI ZA RUFAA ZA UCHAGUZI FANYENI KAZI KWA HAKI- WAZIRI TAMISEMI

    November 06, 2019
  • NANE- NANE KANDA YA KASKAZINI YAFANA

    August 06, 2019
  • Tazama Zote

Video

MNYETI AITAKA HALMASHAURI YA BABATI MJI KUBUNI VYANZO VYA MAPATO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Singida Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 310-Babati

    Simu ya mezani: 027-2510060 ,027-251

    Simu ya kiganjani: 027-2510066

    Barua pepe: ras@manyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki zote zimehifadhiwa @2017 Mkoa wa Manyara