• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MKUU WA MKOA WA MANYARA AKABIDHIWA MAJIKO BANIFU 7,914 KWA BEI YA RUZUKU

Imechapishwa Tarehe: November 10th, 2025

MKUU WA MKOA WA MANYARA AKABIDHIWA MAJIKO BANIFU 7,914 KWA BEI YA RUZUKU.

Na, Ruth Kyelula, Manyara RS

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe.Queen Sendiga, amekabidhiwa majiko banifu 7,914 kwa bei ya ruzuku ya shilingi 11,200 ambayo ni sawa na asilimia 80, ambapo kwa bei ya awali ya jiko illikua shilingi 56,000.


Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe.Queen Sendiga akikagua majiko banifu ya REA

Majiko hayo, alikabidhiwa Novemba 10, 2025, ofisini kwake Wilayani Babati kutoka kwa Wakala wa Nishati safi Vijijini (REA) ikiwa ni juhudi za Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia na kulinda mazingira.

Aidha Mhe. Sendiga, alisema kuwa mpango huo wa usambazaji wa majiko banifu utafanyika katika Wilaya zote tano za Mkoa wa Manyara na kuhakikisha wananchi wote wanapata, hususani wa kipato cha chini na wanapata fursa ya kutumia nishati safi na salama kwa bei nafuu.

“Nawaagiza, Wakuu wote wa Wilaya wa Mkoa wa Manyara, kusimamia kwa makini zoezi hili, ili kuhakikisha majiko hayo yanauzwa kwa bei iliyoelekezwa na kuepuka udanganyifu wa aina yoyote unaoweza kujitokeza wakati wa zoezi.” Alisema, Mhe.Sendiga.

Mhe. Sendiga, alisema kuwa, kampeni hii ni sehemu ya juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, za kupunguza uharibifu wa mazingira unaosababishwa na matumizi makubwa ya kuni na mkaa na pia kulinda afya za wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • MKUU WA MKOA WA MANYARA AKABIDHIWA MAJIKO BANIFU 7,914 KWA BEI YA RUZUKU

    November 10, 2025
  • WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

    September 12, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA ATETA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • RC SENDIGA AWATAKA WAMILIKI WA MIGODI SIMANJIRO KUJIKITA KATIKA KUPUNGUZA UGONJWA WA TB NA SILICOSIS

    October 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.