• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

NAIBU WAZIRI WA AFYA AAGIZA MIRADI ILIYOFIKIA ASILIMIA 96 NA 94 IMALIZIKE NA KUANZA KAZI MARA MOJA

Imechapishwa Tarehe: November 26th, 2025

Na, Ruth Kyelula, Manyara RS

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Mhe. Dkt.Florence Samizi (Mb), ameagiza miradi iliyofikia asilimia 96 na 94 ikamilike mara moja na wananchi waanze kupata huduma mara moja hadi ifikapo Desemba 27, 2025.


Aliyasema hayo alipokua amefanya ziara ya kukagua miradi mitatu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. Ziara hiyo aliifanya jana Novemba 26, 2025, akiambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Mganga Mkuu wa Mkoa,Mbunge wa Babati mjini pamoja na wadau wengine wa afya, ambapo walikagua ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharula (EMD),jengo la wagonjwa wanaohitaji  uangalizi wa karibu (ICU) pamoja na jengo la Damu Salama.

“Nimetembelea miradi mitatu tuliyokuwa tumekusudia kuitembelea, ambapo ni jengo la dharula la wagonjwa, tumeliona lipo asilimia 94, lakini pia tumetembelea jengo la wagonjwa mahututi tumeona lipo asilimia 96, na tumetembelea jengo la damu salama ambalo tumeona lipo asilimia 75.Nichukue nafasi hii kuwapongeza kwa kazi nzuri ya kusimamia miradi hii mpaka imefika sehemu hii, Lakini sasa niwaombe Miradi iliyofika asilimia 96 na 94 kwa maana ya jengo la dharula na jengo la wagonjwa mahututi yamalizike haraka na yaanze kazi mara moja kama mlivyoahidi kwenye taarifa yenu.” Alisema Naibu Waziri, Mhe. Dkt. Florence.

Aidha Mhe. Florence ametoa wito kwa watumishi wa afya kufanya kazi kwa umoja, upendo na mshikamano huku wakiendelea kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa na kufanya kazi kwa moyo.

Kaimu Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Dkt. Yesige Mutajwaa

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Bi. Maryam Muhaji alisema kuwa watatekeleza maagizo hayo na kukamilisha majengo hayo kwa wakati.

Nae Kaimu Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Dkt. Yesige Mutajwaa, amesema kuwa ujenzi wa majengo hayo matatu upo hatua za mwisho kukamilika.Ambapo hadi kukamilika majengo hayo jumla ya fedha Bilioni tatu (3) zitatumika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • NAIBU WAZIRI WA AFYA AAGIZA MIRADI ILIYOFIKIA ASILIMIA 96 NA 94 IMALIZIKE NA KUANZA KAZI MARA MOJA

    November 26, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA AKABIDHIWA MAJIKO BANIFU 7,914 KWA BEI YA RUZUKU

    November 10, 2025
  • WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

    September 12, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA ATETA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.