• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Boda boda na Machinga Msijichukulie Poa - RC Sendiga

Imechapishwa Tarehe: February 27th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga leo Feb 27, 2024 amezindua Ofisi ya Shirikisho la Wamachinga na Bodaboda iliyojengwa mjini Babati. Mhe. Mkuu wa Mkoa amesema, uwepo wa ofisi hii ni maono ya Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kwamba kila kundi lazima lifikiwe na litengenezewe mazingira mazuri ya kufanya kazi ili waweze kuwa wazalishaji wazuri.

Mhe. Mkuu wa Mkoa amesema ofisi hiyo iliyojengwa kwa thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43, ikiwa na umeme, maji pamoja na samani ambapo fedha hizo ni kutoka serikali kuu, mapato ya ndani ya Halmashauri pamoja na michango ya wadau mbalimbali itakuwa ni mahsusi kwa makundi hayo katika kufanya vikao, mijadala na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.

Vilevile RC Sendiga amewataka Wamachinga pamoja na Bodaboda kutojichukulia poa kwani wao ni watu muhimu katika kusaidia upatikanaji wa kodi ambayo inakwenda katika shughuli mbalimbali za kiuchumi katika nchi yao, kwani serikali inategemea kodi katika uboreshaji wa huduma za Afya, Elimu, Maji, Miundombinu n.k. “Kwahiyo hapo ulipo jipigepige kifuani sema kuanzia leo sijichukulii poa”. Aliongeza mkuu wa Mkoa.

Kabla ya kufanya ufunguzi wa ofisi hiyo, RC Sendiga amemuahidi Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Lazaro Twange kuwa ataleta Kompyuta mbili katika ofisi hiyo ya wamachinga na Boda Boda ili kuwawezesha kufanya Biashara zao kidijitali. “Muwaangalie wafanyabiashara wadogo wadogo wa China, India wanafanyaje Biashara zao”. Aliongezea Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mhe. Mkuu wa mkoa ametembelea na shule ya sekondari Kololi iliyopo Katika Kata ya Maisaka na Pauline Gekul iliyopo katika Kata ya Bonga kuona mwenendo wa ukamilishaji wa baadhi ya Majengo ya shule hizo na kutoa maagizo ya ukamilishwaji wa haraka kwa majengo hayo ambayo baadhi ni vyoo vya wanafunzi, majengo ya Maabara za TEHAMA.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.