• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Dongobesh yapandwa jumla ya miti 412

Imechapishwa Tarehe: April 25th, 2023

Na Nyeneu, P. R - Dongobesh

Kufuatia maelekezo ya serikali kuwa maadhimisho ya sherehe za Miaka 59 ya Muungano kwa mwaka huu zifanyike katika ngazi ya Mikoa nchini kote, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Charles Makongoro Nyerere leo tarehe 25 Aprili, 2023 ameungana na viongozi mbalimbali wa Mkoa akiwemo Katibu Tawala wa Mkoa, Viongozi wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa na wananchi wa Wilaya ya Mbulu kushiriki zoezi la Upandaji miti 154 kwenye eneo la Hospitali ya Wilaya ya Mbulu na eneo la jengo la utawala la Halmashauri Mjini Dongobesh miti 258 hivyo kufanya jumla ya miti 412.

Lengo la kuadhimisha maadhimisho katika ngazi ya mikoa ni kuwapa fursa wananchi kuelewa kwa undani maana ya Muungano ulioasisiwa na waasisi wetu. Katika Hafla hiyo Mhe. Mkuu wa Mkoa amesema amefarijika sana na Muitikio wa wananchi wa eneo hilo kushiriki zoezi la upandaji miti. “Binafsi nimefarijika sana kuona muitikio wenu katika shughuli hii muhimu kwa ustawi wa nchi yetu na Maisha yetu”. Alisema Mhe. Makongoro.

Aidha, katika taarifa yake Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri Bi. Pellagia Shirima amesema Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ilianza kujengwa mwezi Machi, 2019 baada ya kupata fedha za ujenzi kutoka Serikali Kuu. Katika Kipindi cha mwaka 2018/2019 hadi 2022/2023 Halmashauri ilipokea fedha Shilingi Bilioni 2.76 kwaajili ya ujenzi wa majengo ya Hospitali ambapo shilingi Bilioni 2.69 ni kutoka serikali kuu na shilingi Milioni 70 ni fedha za Mapato ya ndani. Mapokezi ya fedha hizi yamewezesha kujengwa kwa majengo 12 ikiwemo nyumba ya mtumishi ya 3 in 1 na Hospitali ilishaanza kutoa huduma tangu tarehe 03 Aprili, 2023

RC Makongoro ametoa wito kwa uongozi wa Halmashauri hiyo kuhakikisha miti yote iliyopandwa katika eneo la Hospitali inatunzwa vizuri na pia amesisitiza uhamasishaji wa upandaji miti katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri zote za Mkoa wa Manyara unaendelea ili kufikia lengo la upandaji miti 1,500,000 kwa mwaka kwa Mkoa mzima.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.