• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

EWURA yawataka wadau wa Mafuta MANYARA Kuepuka kuuza Mafuta Kiholela

Imechapishwa Tarehe: November 29th, 2019

Wafanyabiashara na wenye vyombo vya moto wametakiwa kuhifadhi Mafuta katika miundombinu sahihi, kama inavyoelekeza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji, [EWURA] ili kuepuka ajali za moto.

 Wito huo umetolewa jana Novemba 28,2019 na Meneja wa EWURA kanda ya Kaskazini Mhandisi Lorivii Long’idu wakati akitoa wasilisho la Mamlaka hiyo kwenye semina maalum ya kuwapa uelewa wa majukumu yao, Watendaji wa kata,Mitaa na Vijiji,Maafisa Biashara na waandishi wa Habari iliyofanyika wilayani Babati mkoani Manyara.

 Ewura inasisitiza ujenzi wa vituo vidogo vya Mafuta katika maeneo ya vijijini na kuachana na mbinu za kienyeji za kuhifadhi mafuta kwenye Makopo (Chupa)  ili kuepuka ajali zitokanazo na milipuko ya Mafuta ambayo hayajaifadhiwa kitaalamu hali inayopelekea watu kupoteza Maisha na Mali.

 Mhandisi Long’idu amesema,EWURA imefanikiwa kutoa leseni 1561 za biashara ya mafuta zikiwemo leseni za biashara ya mafuta ya jumla 66,biashra ya mafuta ya rejareja 1397 na leseni 19 kwa gesi ya kupikia na vilainishi vya mitambo 56

Katika hatua nyingine EWURA ipo kwenye mpango wa kuanzisha Vituo vya mafuta vinavyotembea (Mobile Shell) ili kukabiliana na upungufu wa Mafuta maeneo yasiyokuwa na Vituo vikubwa hususani vijijini. 

Mamlaka hiyo imefanikiwa kudhibiti Uchakachuaji wa Mafuta kutoka asilimia 74% kwa mwaka 2007 na hadi kufikia asilima 4% pekee kwa mwaka 2019.

 Nao watendaji waliopata elimu hiyo wamesema watakwenda kuitoa kwa wananchi katika maeneo yao ya kazi ili kuwajengea uwezo na kujua njia sahihi ya kutumia huduma zinazosimamiwa na Ewura.

 Kwa upande wa maji safi na usafi wa Mazingira Ewura imeshatoa leseni 24 za daraja la tatu za muda wa miaka kumi kwa mamlaka za makao makuu ya mikoa na leseni 81 kwa Mamlaka za maji za miji ya wilaya,Miji midogo na miradi ya maji ya kitaifa.

 Aidha imekuwa ikikumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo gharama kubwa zauendeshaji kutokana na kufanya kazi ya kudhibiti mamlaka 13 za maji,ambapo kati ya hizo 95 ni za wilaya na miji midogo zenye wateja kati ya 4,000 ba 50,000.

 Hata hivyo Mamlaka hiyo inashirikiana na wizara ya maji na TAMISEMI katika kuzijengea uwezo wa kuangalia uwezekano wa kuunganisha mamlaka ndogo na kubwa.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.