• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Hali ya Miundombinu ya Barabara Mkoa wa Manyara

Imechapishwa Tarehe: November 28th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga ameongoza kikao cha Kwanza cha Bodi ya Barabara kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo Novemba 28, 2023 kikiwa na lengo la kujadili hali ya miundombinu katika Mkoa huo.

Katika kikao hicho, pamoja na mambo mengine agenda kubwa zilikuwa ni pamoja na kusoma na kuthibitisha muhtasari wa kikao kilichofanyika Novemba 28, 2022, kupokea taarifa ya utekelezaji wa mpango wa ujenzi na matengenezo ya Barabara zinazosimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na zile zinazosimamiwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA).

Aidha, katika taarifa yake Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara Injinia Dutu Masele amesema Wakala hiyo inasimamia mtandao wa Barabara wenye urefu wa km 1,657, kati ya hizo Km 207 ni Barabara kuu na Km 1,450 ni Barabara za Mkoa. Pia katika taarifa hiyo Injinia Masele amesema Kilomita 207 za Barabara Kuu zote ni za lami na Km 51 za Barabara za Mkoa ni za lami na kufanya jumla ya barabara za lami kuwa km 258.

Injinia ameeleza kuwa TANROADS Manyara imeidhinishiwa jumla ya Shilingi Milioni 2,946.110 kwa mwaka wa fedha 2023/24 kwa ajili ya kutekeleza kazi za maendeleo ikiwa ni pamoja na ukarabati kwa kiwango cha changarawe na ujenzi kwa kiwango cha lami na zege hasa hasa milimani. Mpaka kufikia tarehe 15 Novemba, 2023 jumla ya miradi minne (4) kati ya 7 imekwishapata Wakandarasi na wanasubiri kusaini mikataba kwa ajili ya kuanza kazi. Aidha, miradi mingine mitatu (3) ipo katika hatua za mwisho za manunuzi.

Mhe. Mkuu wa Mkoa akijibu swali la Mjumbe kuhusiana na uharibifu wa Barabara unaotokana na mifugo, amewaagiza Viongozi wote kuanzia ngazi ya Halmashauri kutoa ushirikiano katika kuwatia hatiani wote watakao jihusisha na uharibu huo wa Miundombinu. RC. Sendiga amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia usafi katika maeneo ya barabara na madaraja huku akitaka suala la upandishaji hadhi barabara kuanzia katika ngazi ya Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.