• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Kampuni ya Carbon Tanzania yakabidhi hundi ya Bilioni 4.7 kwa Utunzaji wa Mazingira Mkoani Manyara.

Imechapishwa Tarehe: November 14th, 2023

Kampuni ya Carbon Tanzania imekabidhi hundi ya Bilioni 4.7 kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo katika Ukumbi wa White Rose Babati Mkoani Manyara kwa Utunzaji wa Mazingira na baadae hundi hiyo kukabidhiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga.

Mhe. Jafo ameipongeza Kampuni ya Carbon Tanzania kwa kufanya Biashara ya Hewa ya Ukaa kwani imesaidia katika suala zima la utunzaji wa mazingira na kutengeneza fursa kubwa ambayo imewawezesha kupata mapato nje ya vyanzo vingine. Waziri huyo amesema kuwa Wizara imekuja na miongozo na kanuni za biashara ya hewa ya ukaa katika Taifa letu.

Aidha, Mhe. Waziri ameongeza kuwa takribani makampuni 53 yameanza kufanya biashara ya hewa ya ukaa. Vilevile ameishukuru Kampuni hiyo kwa kuwa wawazi katika biashara hususani suala la mapato hiyo ni hatua nzuri katika ukuaji wa kibiashara kwa ujumla. Mhe. Jafo amewataka wananchi kutunza misitu kwani misitu ni mali na inapaswa kusimamiwa ili kupunguza/kuondoa uharibifu wa mazingira.

Mkurugenzi wa Carbon Tanzania Bw.Alphan Jackson amesema kuwa  kutunza vyanzo vya maji, kulinda misitu ni jukumu la kila mmoja wetu kulinda na hii imesaidaia sana katika biashara ya hewa ya ukaa.Ameishukuru Serikali kwa kuweka mfumo rahisi katika shughuli za biashara ya hewa ya ukaa.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga ameishukuru Kampuni ya Carbon Tanzania kwa hundi amabyo amepatiwa na kwa kazi nzuri ya utunzaji wa mazingira na Wananchi wamepata Elimu juu ya faida ya utunzaji wa misitu. Vilevile, Mhe. Sendiga ameongeza kuwa takribani wananchi 64,000/= wamenufaika na mradi huo wa utunzaji wa hewa ya ukaa ambapo baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Kiteto na Wilaya ya Mbulu wameanza kunufaika na mradi wa hewa ya ukaa tangu mwaka 2017.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.