• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Kikao cha tathimini ya Lishe Mkoa wa Manyara 2022 hadi 2023

Imechapishwa Tarehe: August 9th, 2023

Tarehe  4. 8. 2023 katika ukumbi namba 83 eneo la  ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kimefanyika kikao cha tathimini ya lishe katika Mkoa wa Manyara.

 Kikao hicho kimeongozwa na  Mh Razalo Twange Mkuu wa wilaya ya Babati  akikaimu na fasi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh Queen Sendiga.

Katika kikao hicho kulikuwa na  uwasilishaji wa  taarifa ya   lishe Mkoa wa Manyara.  Afisa lishe Mkoa wa Manyara, Amemueleza  mwenye kiti wa kikao hicho kuwa  kuna mikakati ambayo imekuwa ikifanywa na wataalamu wa lishe Mkoa wa Manyara.

  Mikakati hiyo ikiwa ni usafi wa mazingira  ulinzi na uslama kwa watoto  pamoja na kilimo  cha matumizi ya vyakula vyenye kurutubisha.

Ufugaji wa mifugo midogo midogo  sambamba na mikakakti hiyo  Afisa lishe Mkoa wa Manyara  ameonyesha changamoto zilizopo  katika mchakato wakufanikisha suala hilo.

 Changamoto hizo zikiwa nipamona na  ukosekanaji wa vitendea kazi  changamoto ya uhaba wa fedha  na ukosekanaji wa uwelewa wakutosha  kwa wananchi kuhusu lishe.

Umasikini  ambao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na vipato duni vya wananchi.  Pia  idadi ya watoto wanaozaliwa kuwa wengi changamoto ya magonjwa,   Ambapo ameeleza kuwa pamoja na changamoto hizo  bado kuna mikakati kama Mkoa ilikuweza kufanikisha suala la lishe  ambapo mikakati hiyo ni pamoja na  kuanzisha bustani  mashuleni  sambamba na hilo kufanya uchimbaji wa visima kwajili ya umwagiliaji wa bustani hizo.

Mwenyekiti wa kikao hicho  (Mkuu wa wilaya ya Babati)  Mh  Razalo Twange  amewataka wataalamu wa lishe wa Mkoa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri zote  ilikuweza kuhakikisha suala la lishe  katika Mkoa wa Manyara  linafanikiwa kwa viwango vikubwa zaidi.

Aidha amepokea maoni mbalimbali  kutoka kwa wajumbe na wataalamu kutoka Sekta ya elimu na Afya  ikiwa nikufanya uboreshaji katika kutekeleza  suala la lishe katika Mkoa wa Manyara.

UTEKELEZAJI WA LISHE MKOA WA MANYARA

Kuelimisha  wananchi kupitia siku za Afya na lishe za kijiji  (SALIKI)  kupitia redio  wananchi wameendelea  kupata  elimu kupitia SALIKI.

Hadi kufikia  Jun 30 – 2023  utekelezaji  ulikuwa ni asilimia 78.6 Ambapo jumla ya vipindi vinne  vya redio  vimefanyika  juu ya Afya  na lishe  kupitia redio Manyara Fm.

Aidha mpaka  Jun 2023 matumizi ya lishe  yalikuwa ni TZS 376,702,880.00 (77.59)  ya TZS 485,501,810.70 sawa na TZS 1,072 kwa kila mtoto. Ambapo Halmashauri za kiteto  DC,  Hanang Dc,  Babati Tc,  na Mbulu Dc,  zimetumia fedha zilizopangwa  katika kutekeleza  Afua  za lishe  kwa zaidi ya  asilimia 84.

Kwa mwaka wa fedha 2022 -2023  baadhi ya vyanzo  vya  fedha havikuweza kuwezesha  utekelezaji wa Afua ya lishe, Aidha kumekuwa na mwendelezo wa utoaji wa elimu ya lishe katika ngazi za wilaya na Halmashauri  katika Mkoa wa Manyara.

 

 

MATOKEO YA  UTEKELEZAJI WA LISHE MKOA WA MANYARA

Katika utoaji wa matokeo hayo ambayo yaliandaliwa kwakufuata vigezo muhimu na vya kitaalamu.  Ambapo  Halmashauri ya Babati Tc imeshika  nafasi ya kwanza katika utekelezaji wa lishe  yenye asilimia 16.79.

Ikifuatiwa na  Babati Dc yenye asilimia 16.51  Mbulu  Dc yenye asilimia 15.26,  wilaya ya Simanjiro  yenye asilimia 10.86  ikiwa nyuma zaidi  ikifuatiwa na Mbulu  Tc yenye asilimia 11.63.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.