• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

Manyara kugawa vitambulisho vya wajasiriamali kwa njia ya Kieletroniki

Imechapishwa Tarehe: May 21st, 2020

Wajasiriamali Mkoani Manyara wanatarajiwa kugaiwa vitambulisho elfu arobaini na sita kwa kwa njia ya kieletroniki.

Akizungumza leo Alhamis na Makatibu Tawala, Maafisa Biashara na Wataalamu wa TEHAMA kutoka katika wilaya  zote za Mkoa wa Manyara wakati wa ufunguzi wa mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkuu wa Mkoa ya jinsi ya kuwaandikisha wafanyabiashara hao Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Dkt. Damas Kayera aliwataka wataalamu hao kusilikiza kwa umakini ili wapate kurekodi taarifa za Vitambulisho kwa walengwa kwa uangalifu mkubwa kwenye mfumo maalum na kuwataka kila muhusika kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

“Maafisa biashara na Maafisa TEHAMA jukumu hili mmepewa na litakuwa sehemu ya majukumu yenu hivyo hakikisheni mnalitekeleza kwa uangalifu mkishirikiana na Maaafisa ngazi za kata na vijiji bila kuwasahau maafisa tarafa kwani wao ndio waliofanikisha kwa kiasi kikubwa katika zoezi la kwanza” Alisisitiza Kaimu Katibu Tawala.

Vitambulisho hivyo vitagawanywa kwenye Halmashauri kwa kuzingatia idadi ya wafanyabiashara na watoa huduma wadogo waliopo, wafanyabiashara wote wanatakiwa kujaza fomu za maombi na lazima fedha ziwekwe benki kwa kutumia control number 995040000014 na mgawo utafanyika kwa kila Halmashauri kwa mtiririko maalum wa namba na kwa  mwaka huu vitambulisho vitaendelea kutolewa kwa  bei ya shilingi elfu ishirini kama mwaka jana.

Wakizungumza baada ya mafunzo hayo Maafisa Biashara walitoa shukrani zao kwa Serikali kwa kufanya ugawaji wa vitambulisho kwa njia ya kieletroniki kwani utaondoa changamoto ya upotevu wa kumbukumbu kwani kila kitambulisho kitarekodiwa kwenye mfumo moja kwa moja.

Kwa upande wa Maafisa TEHEMA wa Halmashauri walisema kuwa ugawaji wa vitambulisho safari hii utakuwa na ufanisi mkubwa sana kwakuwa fedha zote zitakazokusanywa zitaingia Benki moja kwa na hivyo kuzuia wizi kwa baadhi ya watumishi wasiokuwa waaminifu.

Mkoa wa Manyara awamu iliyopita ulipokea vitambulisho 60,000 na kufanikiwa kugawa vitambulisho 46,390 zoezi lililokuwa na  changamoto kadhaa ikiwemo upotevu wa vitambulisho pamoja na kutokuweka kumbukumbu za wafanyabiashara wadogo waliopatiwa vitambulisho.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • RC Manyara amaliza Mgogoro wa ardhi baina ya mwekezaji na wananchi

    September 01, 2021
  • Mkirikiti amkabidhi Makongoro Ofisi rasmi

    May 25, 2021
  • Karibu Manyara Mhe. Makongoro Nyerere!!!

    May 22, 2021
  • Tuweke uzalendo ktk kusajili watoto chini ya miaka mitano - RC Manyara

    April 20, 2021
  • Tazama Zote

Video

Asilimia mbili ya mikopo kwa walemavu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2021 Manyara Region . All rights reserved.