• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MANYARA KUGAWA VYANDARUA SHULE ZA MSINGI

Imechapishwa Tarehe: January 23rd, 2023

Maambukizi ya ugonjwa wa Malaria kwa Mkoa wa Manyara yamepungua kutoka asilimia 1.4 hadi asilimia 0.46 kwa mwaka 2022 huku Wilaya za Kiteto na Simanjiro zikiongoza kwa kiwango cha juu cha maambukizi.


Wilaya ya Simanjiro na kiteto kila moja ina kiwango cha asilimia 1.2 cha maambukizi ambapo kwa mwaka jana pekee watu 3,872 waliugua malaria huku kati yao wanne wakithibitika kufariki baada ya kuugua malaria.


Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Charles Makongoro Nyerere, akizungumza leo Januari 20,2023 kwenye mkutano wa tathmini ya mkataba wa lishe kwa julai hadi Desemba 2022 na Uzinduzi wa zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za msingi wilaya za Kiteto na Simanjiro, amesema lengo la Mkoa ni kutokomeza ugonjwa huo kufikia mwaka 2030.


Amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kupambana na ugonjwa huo kwa kuongeza kasi ya upatikanaji wa vyandarua ngazi ya kaya kwa kugawa vyandarua vyenye ukubwa wa futi 5 kwa 6 kwa wanafunzi 44,884 wilaya ya Kiteto na wanafunzi 47,785 Simanjiro kwa shule zote za msingi za Umma na binafsi, zoezi ambalo litakuwa likifanyika kila mwaka


RC Makongoro aliwataka wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Halmashauri na viongozi wa Dini wakatoe elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kutumia vyandarua hivyo ili kujikinga na malaria.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.