• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MANYARA KUTEKELEZA SERA YA VIWANDA

Imechapishwa Tarehe: September 18th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Manyara Mh.Alexanda Mnyeti amefanya ziara katika kijiji cha Naberera Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara  kutembelea kiwanda cha kusindika Nyama pamoja na Asali ambacho kilifungwa kwa muda wa miaka mitano.Kiwanda hicho kilikuwa kinaendeshwa na kumilikiwa na makampuni mawili ambayo ni (Stich Foundation ) na ( Rotiana social association).

Mmoja wa wakurugenzi wa kiwanda hicho Bi.Mary Mollel alisema kiwanda hicho kilianza  kufanya kazi mwaka 2012 na  changamoto zilianza mwaka 2013 mwezi  Novemba  ambapo Muwekezaji aliyekuwepo alikumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo za kisiasa.ufisili  wa kiwanda  pamoja na mali zilizokuwepo ulitokana na madeni ambayo kampuni ilikuwa inadaiwa na mmoja wa wakurugenzi wa kampuni hiyo pamoja na uvamizi unaofanywa na wananchi ikiwemo kuingiza mifugo katika eneo la kiwanda. 

Aidha akitoa taarifa kwa  Mkuu wa Mkoa mwanasheria wa kiwanda Bw.Emmanuel Mrema alisema ni takribani miaka mitano sasa tangu kiwanda hicho kifungwe hii ni kutokana changamoto za umiliki madeni na siasa zisizoleta maendeleo kukwamisha shughuli za uzalishaji ikiwemo kilimo cha mahindi,mtama, maharage pamoja na ufugaji na usindikaji wa nyama .Moja ya hatua ambazo wao wamezichukua ni kuimarisha ulinzi wa eneo la shamba pamoja  na kuzuia  uvamizi wa wananchi.

Akizungumza katika kikao hicho Mh.Myeti alisema Serikali ya awamu ya tano katika moja ya sera za zake ni “Tanzania ya viwanda” na wao kama Mkoa hawako tayari kuona kiwanda hicho hakifanyi kazi kwani wananchi wa  eneo hilo wanategemea ajira pamoja na huduma mbali mbali za kijamii ili kujikwamua kiuchumi.

Moja ya maelekezo aliyoyatoa ni kuitaka serikali ya Wilaya hiyo kufuta hati ya umiliki wa eneo hilo ambapo alisema ” hii hati ya umiliki wa eneo hili  haufuati misingi,sheria na kanuni za umiliki wa ardhi Tanzania  na hivyo  wapewe eneo  hili  wanapaswa   wawekezaji wa ndani  au watafute wawekezaji wapya na mchakato wa kukifufuaa kiwanda hicho uanze mara moja na ajira kama ilovyokuwa awali zitolewe kwa wananchi” Alisisitiza

(Kwa Picha mbalimbali angalia Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha)

Imeandikwa na Isabela Joseph (UDSM-Mafunzo kwa Vitendo)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.