• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Miradi ya maji yenye thamani ya Billioni 9 Kutekelezwa na RUWASA

Imechapishwa Tarehe: November 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga, Katibu Tawala Mkoa wa Manyara pamoja na Mkurugenzi Wakala wa Maji  na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Novemba 20, 2023 wamehudhuria hafla ya utiaji saini katika mikataba 6 ya miradi ya maji yenye thamani ya Billioni 9 ambapo hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya  Mji wa Babati Mkoani Manyara.

Mhe. Sendiga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya jitihada kubwa za kuondoa changamoto ya upatikanaji wa maji kwa kupeleka miradi ya maji kwa wananchi wa Mkoa wa Manyara.

Aidha, RC Sending amesisitiza wakandarasi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na amewataka Wakuu wa Wilaya kusimamia miradi na kuangalia mikataba ili kumaliza miradi kwa wakati. Pia Mhe. Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa Mkoa wa Manyara una miradi mikubwa ya maji ipatayo 28 hivyo kufanya upatikanaji wa maji kufikia wastani wa asilimia 70.5.

Vilevile amesema kuwa miradi ya maji imeinua Sekta ya ufugaji katika Mkoa ikiwemo Ujenzi wa josho za kuoshea mifugo katika baadhi ya Wilaya za Mkoa huo. Kwa kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan Mkoa umepokea jumla ya Bilioni 56 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji ambapo kwa bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 Mkoa umepokea jumla ya Bilioni 21.7 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.

Sambamba na hilo, Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka wakandarasi kuajiri wazawa katika miradi hiyo ili kuleta maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi ikiwemo wajasiriamali wadogo kama mama lishe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.