• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Msilime kwenye vitalu vya uwindaji – RC Manyara

Imechapishwa Tarehe: March 11th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joseph Mkirikiti amewataka wamiliki wa vitalu vya uwindaji mkoani humo kuacha kufanya shughuli za kilimo kwani kufanya hivyo kunaleta uharibifu wa mazingira na kuwafanya Wanyama wakimbie kwa kuhofia usalama wao.

Mhe.Mkirikiti ameyasema hayo jana wakati alipokuwa katika ziara ya ukaguzi wa vitalu vya uwindaji katika wilaya ya Simanjiro kujionea jinsi wawindaji hao wanavyotumia fursa hiyo kwa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa na serikali na kukuta baadhi ya wawindaji wameanzisha shughuli za kilimo katika vitalu hivyo.

“Mimi na kamati ya usalama hatujaridhirishwa na mmiliki wa vitalu hivi kwa sababu tunataka kujua maslahi ya Serikali na maslahi ya wananchi katika eneo hilo kwani tumeona maeneo mengi yaliyotengwa kwa shughuli za uwindaji yanatumika kwa shughuli za kilimo hivyo nawataka wamiliki waote wa vitalu vya uwindaji kuacha mara moja kufanya sghuli za kilimo katika maeneo haya” Alisema Mhe. Mkuu wa Mkoa.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amesema kuwa Pamoja na wawindaji hao kuwa na vitalu lakini bado wananunua maeneo ya vijiji bila kufuata taratibu na kuwataka wawindaji  kufuata taratibu za kununua maeneo hayo.

“Kila mtu aliyenunua maeneo ya Vitalu vya uwindaji lazima afuate taratibu za ununuzi na pia nawataka wote walionunua maeneo wakaripoto kwa Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro ili Serikali ijue kuwa umiliki huo una uhalali gani kwani kwa taarifa tulizonazo wananchi wa maeneo haya wanauza maeneo kwa bei rahisi bila ya kufuata taratibu za uuzaji wa maeneo” Alisema Mhe.Mkirikiti.

Mkoa wa Manyara una vitalu 16 vya uwindaji ambapo Mkuu wa Mkoa huo aliwataka wawindaji wote katika mkoa kuhakikisha wanatambulika kisheria katika ofisi za wakuu wa wilaya kwani Mkuu wa Wilaya ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika eneo husika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.