• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MWENGE WA UHURU UMEINGIA MKOANI MANYARA

Imechapishwa Tarehe: July 13th, 2024

Mwenge wa uhuru umeingia katika mkoa wa MANYARA ukitokea SINGIDA ambapo utakimbizwa Katika Halmashauri zote SABA za wilaya TANO za mkoa huo ambapo utakimbia kilomita 980.5 kukagua na kuweka mawe ya msingi katika miradi 57 ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilioni 149.5.

Akipokea Mwenge wa uhuru katika kijiji cha GEHANDU kwenye viwanja vya shule ya sekondari MWAHU Wilayani HANANG kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa SINGIDA HALIMA NDENDEGO, Mkuu wa mkoa wa MANYARA QUEEN CUTHBERT SENDIGA amesema kati ya miradi hiyo, shilingi milioni 837 ni michango ya Wananchi na milioni 500 ni michango kutoka wadau wa Maendeleo.

Amesema miradi 17 yenye thamani ya shilingi Bilioni 134.1 itawekewa mawe ya msingi, miradi 8 yenye thamani ya shilingi bilioni 3.4 itazinduliwa, miradi minne yenye thamani ya shilingi 1.3 itakaguliwa na kuonwa na kutembelea miradi 28 ya yenye tamani ya shilingi milioni 10.7

Sendiga amesema kati ya fedha hizo nguvu za wananchi ni shilingi bili 102. 5 serikali bilioni 72.8 Halmashauri shilingi 169.7 wadau wa Maendeleo shilingi 76.5.0

Baada ya kuupokea SENDIGA amekabidhi Mwenge wa uhuru kwa Mkuu wa wilaya ya HANANG ALMISHI HAZALI ambapo umekimbizwa kilimita 130 itatembelea miradi 9 yenye thamani ya shilingi bilioni 12.522.

Kwa mujibu wa Almishi Hazali miradi iliyokaguliwa na kuwekewa mawe ya msingi na mwenge wa uhuru Wilayani HANANG ni pamoja mradi mkubwa wa maji wa Mogitu GEHANDU utakaonufaisha watu 25 uliotekelezwa na serikali kupitia wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini RUWASA wilaya ya HANAN.

Meneja wa RUWASA wilaya ya Hanqng mhandisi Hubert Kijazi mradi huo wa Mogitu-Gehandu unatekelezwa kwa awamu tatu kwa jumla ya shilingi Bilioni nane.

Akizungumza baada ya kuzindua miradi hiyo, kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka 2024 GODFREY MZAVA amepongeza RUWASA kwa kusimamia mradi huo na kufuata maelekezo ya serikali ya kutangaza zabuni kwa njia ya kidigitali na pia kuangalia uwezekano wa kupunguza bei ya maji kwa wananchi wa HANANG.


Miradi mingine iliyokaguliwa na kuwekewa mawe na msingi na mwenge wa uhuru ni pamoja jengo la mama na Mtoto katika hospitali ya wilaya ya HANANG ya Tumaini pamoja na ujenzi wa madarasa mapya matatu katika shule ya sekondari KATESH.

Mwenge wa uhuru hapo kesho utaendelea na mbio zake katika Halmashauri ya wilaya ya MBULU kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.