• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

MWITA WAITARA AWATAKA WATUMISHI BABATI KUFANYA KAZI KWA BIDII

Imechapishwa Tarehe: December 13th, 2018

Naibu waziri Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh.Mwita Waitara amewataka watumishi wa umma Mkoani Manyara kuacha urasimu na  kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo wananchi.

Mheshimiwa Mwita ameyasema hayo siku ya Alhamis katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati alipokuwa na kikao na watumishi kutoka Halmashauri za Wilaya na Mji wa Babati alipofanya ziara ya siku tatu Mkoani Manyara.

“Ndugu zangu watumishi wa umma jitahidini kufanya kazi zenu kwa bidii ili kuwaletea wananchi wetu maendeleo kwani tukishindwa kuwaletea maendeleo wananchi tutawafanya wananchi kuichukia seriukali yao” Alisema Mheshimiwa Naibu Waziri.

Katika kikao hicho Mheshimiwa Naibu waziri Mwita aliwataka watumishi wa umma kuteketeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015 kwa juhudi zote kwani ilani hiyo imeahidi maendeleo kwa wananchi wote.

Akizungumzia maslahi ya wafanyakazi Mheshimiwa Naibu Waziri wa TAMISEMI amewataka Wakurugenzi wote kushughulikia maslahi ya wafanyakazi wao ili kuondoa manung’uniko kwani wafanyakazi wakiwa na manung’uniko hata ufanisi kazini unapungua.

Akitolea mfano kwa watumishi  saba wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waliokaimu nafasi za ukuu wa Idara na Vitengo zaidi ya miezi sita Mheshimkiwa Naibu Waziri alisema “Hairuhusiwi mtumishi mwenye sifa za kuwa mkuu wa idara au kitengo kukaimu kwa zaidi ya miezi sita bila kupandisha cheo!!! Kama mtumishi ana sifa kwa nini mnachelewa kumpandisha cheo? Nataka maelezo juu ya hawa watumishi saba waliokaimu kwa kipindi kirefu bila kuthibitishwa” Naibu waziri alisisitiza.

Baada ya kikao hicho Mheshimiwa Naibu Waziri alitembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya Afya,maji na Elimu iliyomo Halmashauri ya Mji wa Babati na Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

Mheshimiwa Mwita Waitara ataendelea na ziara yake kesho kwa kutembelea Halmashauri ya Hanang’ na Keshokutwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.

(Kwa picha mbalimbali na Video angalia sehemu ya  Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha na Maktaba ya Video)

Imeandikwa Na: Haji A. Msovu

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • RC Manyara amaliza Mgogoro wa ardhi baina ya mwekezaji na wananchi

    September 01, 2021
  • Mkirikiti amkabidhi Makongoro Ofisi rasmi

    May 25, 2021
  • Karibu Manyara Mhe. Makongoro Nyerere!!!

    May 22, 2021
  • Tuweke uzalendo ktk kusajili watoto chini ya miaka mitano - RC Manyara

    April 20, 2021
  • Tazama Zote

Video

Asilimia mbili ya mikopo kwa walemavu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2021 Manyara Region . All rights reserved.