• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MWITA WAITARA AWATAKA WATUMISHI BABATI KUFANYA KAZI KWA BIDII

Imechapishwa Tarehe: December 13th, 2018

Naibu waziri Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh.Mwita Waitara amewataka watumishi wa umma Mkoani Manyara kuacha urasimu na  kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo wananchi.

Mheshimiwa Mwita ameyasema hayo siku ya Alhamis katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati alipokuwa na kikao na watumishi kutoka Halmashauri za Wilaya na Mji wa Babati alipofanya ziara ya siku tatu Mkoani Manyara.

“Ndugu zangu watumishi wa umma jitahidini kufanya kazi zenu kwa bidii ili kuwaletea wananchi wetu maendeleo kwani tukishindwa kuwaletea maendeleo wananchi tutawafanya wananchi kuichukia seriukali yao” Alisema Mheshimiwa Naibu Waziri.

Katika kikao hicho Mheshimiwa Naibu waziri Mwita aliwataka watumishi wa umma kuteketeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015 kwa juhudi zote kwani ilani hiyo imeahidi maendeleo kwa wananchi wote.

Akizungumzia maslahi ya wafanyakazi Mheshimiwa Naibu Waziri wa TAMISEMI amewataka Wakurugenzi wote kushughulikia maslahi ya wafanyakazi wao ili kuondoa manung’uniko kwani wafanyakazi wakiwa na manung’uniko hata ufanisi kazini unapungua.

Akitolea mfano kwa watumishi  saba wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waliokaimu nafasi za ukuu wa Idara na Vitengo zaidi ya miezi sita Mheshimkiwa Naibu Waziri alisema “Hairuhusiwi mtumishi mwenye sifa za kuwa mkuu wa idara au kitengo kukaimu kwa zaidi ya miezi sita bila kupandisha cheo!!! Kama mtumishi ana sifa kwa nini mnachelewa kumpandisha cheo? Nataka maelezo juu ya hawa watumishi saba waliokaimu kwa kipindi kirefu bila kuthibitishwa” Naibu waziri alisisitiza.

Baada ya kikao hicho Mheshimiwa Naibu Waziri alitembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya Afya,maji na Elimu iliyomo Halmashauri ya Mji wa Babati na Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

Mheshimiwa Mwita Waitara ataendelea na ziara yake kesho kwa kutembelea Halmashauri ya Hanang’ na Keshokutwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.

(Kwa picha mbalimbali na Video angalia sehemu ya  Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha na Maktaba ya Video)

Imeandikwa Na: Haji A. Msovu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.