• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

RAS MANYARA ASAPOTI MPANGO WA SHIRIKA LA EGPAF IFIKAPO 2028 ASIZALIWE MTOTO MWENYE HIV

Imechapishwa Tarehe: September 22nd, 2025

Na, Ruth Kyelula, Manyara RS

Katibu Tawala Mkoa wa Manyara, Bi. Maryam Muhaji, alisema kuwa Mkoa umelenga kushirikiana na shirika la EGPAF (Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation) ifikapo mwaka 2028 kusiwepo na mtoto anaezaliwa na virusi vya UKIMWI.Na kuongeza kuwa suala hilo linawezekana.

Aliyasema hayo wakati akifungua mkutano wa siku moja wa kutathimini maendeleo ya mkakati wa kuharakisha matokeo ya mradi wa USAID afya yangu Northen 2024/25, uliofanyika mjini Babati Septemba 22, 2025 na wadau mbalimbali kama USAID Afya yangu, Baraza la watu wanaoishi na UKIMWI, Wadau wanaojishughulisha na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu (ACHIEVE), Shirika la Posta, TACAIDS, Halmashauri saba za mkoa na Secretariet ya Mkoa walishiriki.

“Najua kwenye program hizi mmetusaidia sana hasa upimaji wa HIV, masuala ya kifua kikuu lakini kubwa zaidi masuala ya watumishi.Mimi ningeomba sana sana haya masuala bado tunahitaji msaada toka kwenu,bado watumishi hawatoshelezi,mkoa wa Manyara ni mkoa ambao umebahatika mno kwa kupata proramu nyingi ni miongoni mwa mikoa michache Tanzania ambayo mmeiangalia kwa jicho la kipekee, mimi niseme nawashukuruni sana lakini nitoe msisitizo kwenye hili, bado mkoa wa Manyara tunatakiwa tupate watumishi zaidi, tupate sapoti ya upimaji wa HIV,lakini pia suala zima la kifua kikuu, na upimaji wa sampuli, tunaomba kama wadau wetu tuwe pamoja kwenye hili.” Alisema Muhaji.

Aliendelea kusema kuwa, kwa sapoti ya Serikali na wadau anaamini watafikia lengo hata kabla ya mwaka 2028, na wanaweza. Aidha ameiahidi EGPAF kuwa, yale yote ambayo wamewakabidhi mkoa wayafanyie kazi na wayasimamie, wataenda kuyasimamia.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • WAJASIRIAMALI MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUONGEZEA THAMANI MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MIKUNDE

    October 10, 2025
  • RAS MANYARA ASAPOTI MPANGO WA SHIRIKA LA EGPAF IFIKAPO 2028 ASIZALIWE MTOTO MWENYE HIV

    September 22, 2025
  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.