• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

RC Sendiga awaomba wananchi kuupokea mradi wa skimu ya umwagiliaji Hanang’.

Imechapishwa Tarehe: April 10th, 2024

Na Nyeneu, P. R - Endagaw Hanang
Mkuu wa mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga amewataka wananchi mkoani kwake kuipokea kwa mikono miwili miradi inayoletwa na serikali kwa ajili ya maendeleo yao.

Amezungumza hayo kwenye mkutano wa hadhara na wakazi wa kata ya Endagaw wilayani Hanang' uliolenga kuwahimiza wenye maeneo eneo la mradi wa Skimu ya umwagiliaji kupisha ili mradi huo uendelee kutekelezwa.

Mradi huo wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja ulianza kutekelezwa kijijini hapo tangu mwaka 2016 lakini umekuwa ukisuasua kutokana na baadhi ya watu wachache kuzuia utekelezwaji wa mradi na kudai kupewa fidia.

Amesema kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, serikali ya awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuboresha sekta ya kilimo kwa kubuni na kuanzisha Skimu za Umwagiliaji ili wakulima wafanye kilimo cha kisasa na katika misimu yote.

Mhe. Mkuu wa Mkoa ameagiza viongozi wa kijiji kufanya vikao vyao vya kisheria na kukubaliana ili fedha za mradi huo ziingie na kuanza kufanyiwa kazi kama ilivyo adhima ya serikali.

"Kule kulipojengwa skimu ya kwanza ndipo kwenye chanzo kikubwa cha maji kinachotosheleza kulisha wilaya nzima ya Hanang' ila watu wachache hao wamegoma kupisha hadi walipwe fidia ila mimi nimekuja kuwaomba mkubali ili mradi uendelee wakati taratibu zingine zinaendelea kuwatafutia maeneo mengine ya kilimo" Aliwasihi RC Sendiga.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.