• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

RUWASA Mbulu kutumia Bilioni Tatu katika Miradi ya Maji

Imechapishwa Tarehe: September 17th, 2020

Wakala wa Maji Vijijini RUWASA katika Wilaya ya Mbulu imepanga kutumia zaidi ya Bilioni tatu kutekeleza miradi ya maji ili kuondoa kero za upatikanaji wa maji katika wilaya hiyo.

Hayo yamesemwa leo na Meneja wa RUWASA wilaya ya Mbulu Mhandisi Philimon Qamara alipokuwa akisoma taarifa kwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara alipokuwa katika ziara ya kukagua miradi ya maji katika Wilaya ya Mbulu.

“Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa RUWASA Wilaya ya Mbulu imepewa shilingi Bilioni 1.3 fedha zilizokusudiwa kutekeleza miradi mitatu ya maji katika wilaya yetu hususani katika Kijiji cha Maghang,Hyderer na Dongobesh” Alisema Mhandisi Qamara.

Pamoja na ujenzi wa vituo hivyo vya maji kuendelea ili kuhakikisha maji yanapatikana lakini kuna changamoto ya kupata nguvu kazi ya uchimbaji wa mitaro.

“Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Pamoja na jitahidi kuwalipa vibarua wanaochimba mitaro kwa shilingi 1000 kwa mita moja lakini imekuwa ngumu kuwapata kwa madai kuwa hali ya ardhi ni ngumu” Alisema Mhandisi Philimon Qamara.

Mara baada ya kusomewa taarifa hiyo Mkuu wa Mkoa amefurahishwa na jinsi ya RUWASA Wilayani Mbulu inavyojitahidi kuhakikisha huduma ya maji inawafikia kila mahali ili wasihangaike kutembea umbali mrefu kutafuta kwani Mheshimiwa Rais anataka kuhakikisha  Mwanamke anatuliwa ndoo kichwani kwa kumuondelea adha ya kupata maji na pia kuwataka viongozi katika maeneo hayo kuhamasisha vijana kuchimba mitaro ili utandazaji wa mabomba uanze mara moja.  

“Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya hakikisheni mnawahamasisha vijana wachimbe mitaro ili wananchi wapate maji kuanzia mwishini mwa mwezi wa kumi na hao vijana ni bora wakafanya kazi za kuchimba mitaro na kulipwa kuliko kukaa vijiweni” Alisema Mhe.Mkirikiti.

Mara baada ya kutembelea miradi ya maji Mhe.Mkuu wa Mkoa pia alifanya ziara ya kutembelea katika majengo ya Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya Mbulu na Hospitali ya Wilaya yanayojengwa katika Mji wa Dongobesh na kuwapongeza wakandarasi kwa kazi nzuri wanaiyoifanya.

Mhe.Mkirikiti amemtaka Mkurgenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mbulu na Wataalamu wake kuhakikisha wanapanga matumizi mazuri ya Ofisi hizo ikiwemo kuhakikisha wananchi wanapata huduma nzuri na pia kulifanya jingo hilo liwe sehemu ya kuongeza mapato ya Halmashauri kwa kukodisha baadhi ya ofisi kwa taasisi zilizomo wilayani humo.

“Pamajo na kuhakikisha mnatoa huduma bora kwa wananch lakini pia mnapaswa kuhakikisha mnapima viwanja vyo vinavyozunguka eneo hili ili kuepuka ujenzi holela” Alimalisisitiza Mhe.Mkuu wa Mkoa.

Akiwa katika Hospitali ya Wilaya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara alimwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuanza kuleta watumishi ili huduma nyingi zianze kutolewa Hospitalini hapo huku wakisubiria TANESCO ilete umeme.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa yupo katika ziara ya kukagua miradi ya maji inayotekelezwa na Wakala wa  Maji Vijijini (RUWASA) katika wilaya zote za Mkoa wa Manyara. 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.