• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

SEQUIP: MIRADI YA ZAIDI YA BIL. 15 KUTEKELEZWA MKOANI MANYARA

Imechapishwa Tarehe: August 7th, 2024

Agosti 7, 2024 Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Bi. Maryam Muhaji ameongoza kikao ambacho kimehudhuriwa na wakurugenzi, Maafisa Elimu Sekondari, Waratibu wa miradi ya SEQUIP, Maafisa Manunuzi, Wahandisi, Maafisa TEHAMA na Wakuuu wa Shule zenye miradi hiyo. Katika kikao hicho mikakati ya utekelezaji wa miradi ya SEQUIP imejadiliwa ambapo miradi iliyopokea fedha katika mwaka wa fedha 2023/2024 na inapaswa itatekelezwa ni;

Ujenzi wa shule ya wavulana ya mkoa  itakayo jengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati. Mradi huu umepokea jumla ya fedha kiasi cha Tsh 4,100,000,000

Ujenzi wa shule ya Amali Katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu. Mradi huu umepokea jumla ya fedha kiasi cha Tsh 1,600,000,000

Ujenzi wa Shule ya wasichana ya Mkoa awamu ya pili. Shule imejengwa katika Halmasahuri ya Babati mji na imepokea kiasi cha Tsh 1,100,000,000

Ujenzi wa shule mpya saba za kata, kila moja imepokea Tsh 584,280,029 jumla ni  Tsh 4,089,960,203 kwa shule zote saba katika Mkoa wa Manyara.

Ujenzi wa Nyumba za Walimu two in one kwa kila Halmashauri kila nyumba imepokea Tsh 98.000.000 jumla zimepokelewa Tsh 686,000,000

Ujenzi  wa mabweni, madarasa na matundu ya vyoo katika Halmashuri za Babati  Mji, kiteto, Mbulu Mji, Simanjiro, babati Wilaya  na Hananang  na kiasi kilicho pokelewa ni Tsh 3,492,300,000

 Kwa ujumla fedha iliyopokelewa kwa Miradi hii yote ni kiasi cha fedha Tsh 15,068,260,230 kwa Mkoa wa Manyara.

Aidha, Bi. Muhaji amewasisitiza Wakurugenzi na watendaji wengine katika Halmashsuri kuhakisha wanasimamia kikamilifu na kwa uadilifu matumizi ya fedha hizi ili kufikia malengo ya Serikali yaliyokusudiwa. “Hakikisheni mnasimamia kikamilifu na kwa uadilifu matumizi ya fedha hizi ili kufikia malengo yaliyokusudiwa na Serikali, na mimi mwenyewe nitakikisha nimefika katika maeneo ya Miradi kujionea utekelezaji. Nasisitiza nilazima kuweka mikakati ya kukamilisha miradi ambayo haikukamilika kwa mwaka wa fedha uliopita kabla ya Novemba 2024, ili miradi hiyo ianze kutoa huduma kama ilivyo kusudiwa”. Alisema.

Mtakumbuka kuwa mnamo tarehe 22 July 2024 katika kikao kazi kwa njia ya mtandao Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasimu Majaliwa Kasimu (Mb) alitoa maelekezo kwa Wakuu wa Taasisi kuhakikisha kuwa Miradi yote iliyopokea fedha kuanzia mwaka wa fedha 2021 hadi sasa ikamilike kabla ya Desemba, 2024. Kwa kuzingatia maelekezo hayo Mkoa umeweka malengo ya kuhakikisha miradi hii inakamilika kabla ya Novemba ,2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.