• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Serikali yahaidi ununuzi wa Ultra Sound kwenye vituo vya afya Nchini.

Imechapishwa Tarehe: May 17th, 2019

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Josephat Senkamba Kandege amesema Serikali imejiwekea mikakati wa kuhakikisha vituo vyote vya afya vilivyojengwa nchini vinakuwa na wataalam, vifaa vya kutosha kikiwemo kipimo cha Ultra-Sound ili kutoa huduma bora za afya kwa wananchi

Akijibu swali Bungeni leo lililotaka ufafanuzi juu ya mkakati wa Serikali wa kununua kipimo cha Ultra Sound katika Kituo cha afya cha Ujiji Mkoani Kigoma Mhe. Kandege amesema  katika mwaka wa fedha 2018/2019 Serikali imeidhinishiwa  zaidi ya shilingi milioni 15  kwa  Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Ujiji kupitia mradi wa malipo kwa ufanisi kwa ajili ya ukarabati wa chumba kinachotumika kwa huduma ya mionzi na shilingi milini 45 kwa ajili ya ununuzi wa Ulta Sound

Anafafanua kuwa huduma ya Ultra Sound katika Mkoa wa Kigoma kwa sasa inapatikana katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni na Hospitali Teule ya Batist kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wanaohitaji huduma hiyo.

Mhe. Senkamba amesema Serikali inatambua umuhimu wa kifaa cha Ultra Saund katika Vituo vya Afya vyote nchini na tayari imepeleka fedha Bohari ya dawa (MSD) kwa ajili ya ununuzi wa kifaa hicho ili kuhakikisha vituo vyote vinapokamilika vinakuwa na huduma ya Ultra Sound.

Aidha amesema ni azma ya Serikali kuhakikisha vituo vyote vya afya  vinavyojengwa  vikikamilika  viweze kutoa huduma ya Ultra Sound, kuwa na wataalam wa kutosha pamoja na kuwa vifaa vya kutosha ili  wananchi wapate huduma bora na kupunguza kero za afya katika jamii.

Na. Angela Msimbira BUNGE -DODOMA


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

    September 12, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA ATETA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • RC SENDIGA AWATAKA WAMILIKI WA MIGODI SIMANJIRO KUJIKITA KATIKA KUPUNGUZA UGONJWA WA TB NA SILICOSIS

    October 20, 2025
  • WAJASIRIAMALI MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUONGEZEA THAMANI MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MIKUNDE

    October 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.