• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

TAKUKURU fanyeni uchunguzi katika mradi wa shule ya Sekondari ya Chief Sarja – RC Sendiga

Imechapishwa Tarehe: April 3rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga amewaagiza viongozi na wataalamu wanaotekeleza miradi mbalimbali Wilayani Hanang kukamilisha miradi viporo ya maendeleo kabla ya kumalizika kwa mwaka wa fedha wa Serikali.

Ameyasema hayo leo Machi 03, 2024 wakati akikagua miradi ya Elimu katika kata ya Endasak na kituo cha Afya katika kata ya Nangwa kwenye ziara yake ya siku moja wilayani humo. RC Sendiga amesema ujenzi wa shule ya sekondari ya Chief Sarja ambao ni mradi wa muda mrefu umegharimu jumla ya shilingi Milioni 600 kujenga madarasa na nyumba za walimu lakini ujenzi huo haujakamilika hadi sasa.

Mhe. Mkuu wa mkoa amewataka viongozi wa kisiasa kusikiliza ushauri wa wataalamu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali badala ya kupingana nao na pia amewaagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi wa matumizi ya fedha za utekelezaji katika mradi wa shule ya Sekondari ya Chief Sarja.

Vilevile Mhe. Sendiga baada ya kutembelea mradi wa soko jipya lililojengwa baada ya lile la awali kuathiriwa na mafuriko mwishoni mwa mwaka 2023, amewaagiza viongozi wa Wilaya ya Hanang kuwa soko hilo lianze kutumika mara moja na wafanyabiashara katika wilayani humo.

Aidha, Mkuu wa Mkoa amewaagiza TARURA kufanya marekebisho katika maeneo ya soko hilo ikiwemo kujenga mitaro ya pembezoni mwa soko pamoja na ukarabati wa maeneo madogo madogo sokoni hapo ili biashara zianze kufanyika katika eneo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.