• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

TATUENI KERO ZA WANANCHI-MNYETI

Imechapishwa Tarehe: October 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti amewataka wafanyakazi wote waliopo Mkoani Manyara kufanya kazi kwa bidii ili kutatua kero za wananchi Mkoani Manyara.

Mh.Mnyeti aliyasema hayo alipokuwa akiongea na wakuu wa Idara na Vitengo kutoka katika Halmashauri zote saba zilizopo Mkoani Manyara katika kikao kazi kilichofanyika kuanzia tarehe 18 hadi 19 Oktoba 2018 Mirereani Wilayani Simanjiro.

"Kupitia kikao hiki nawataka wafanyakazi wote wa Mkoa wa Manyara kufanya kazi kwa bidii ili kuhakikisha wananchi wanatatuliwa kero zao kwa wakati na bila usumbufu wa aina yoyote" Alisisitiza Mh.Mnyeti.

Vilevile aliwaagiza wakurugenzi wa Halmashauri zote zilizomo Mkoani Manyara kuhakikisha wanakusanya mapatao ya Halmashauri kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato vilivyomo katika Halmashauri zao.

Pia alimuagiza Mpima Ardhi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kupita kwenye Halmashauri zote ili kuhakikisha mipaka ya Mkoa wa Manyara inajulikana ili kuepusha migogoro ya mipaka kati ya Mkoa wa Manyara na Mikoa ya jirani.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara ameanzisha utaratibu wa kukutana na Wakuu wa Idara na Vitengo wote kutoka Halmashauri saba zilizopo Mkoani Manyara kila baada ya miezi mitatu ili kujadiliana juu ya mambo mbalimbali kuhusu maendeleo na changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua.

(Kwa picha mbalimbali  angalia sehemu ya  Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha)

Imeandikwa na: Haji A.Msovu (Afisa Habari Mkoa wa Manyara)  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.