• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Tudumishe amani katika kipindi cha Maombolezo-RC Manyara

Imechapishwa Tarehe: March 17th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Manyara joseph Mkirikiti amewata watanzania kutoruhusu watu wenye nia mbaya ya kuwagawanya watanzania kisiasa katika kipindi hiki cha maombolezo kufatia kifo cha aliyekuwa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Joseph Magufuli.

Alisema   hayo  wakati akitoa salam za rambi rambi kufatia kifo cha aliyekuwa  Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kilichotokea jana ambapo alieleza kuwa ni wakati wa watanzania kuhakikisha wanaendeleza amani ambayo tayari ilishakuwepo na kuwa sehemu ya kudumisha ulinzi na usalama.

"Lakini tukumbuke kama Mkoa na kama Taifa wapo watu inawezekana hawakuwa na nia nzuri na Taifa letu huu ni muda wa kuwa na umoja zaidi,tuwabaini  na tuhakikishe kabisa hatuwapi nafasi ya kutugawanya watanzania na kama wanamanyara zaidi sana katika kipindi cha maombolezo tunawahakikishia wananchi wa Manyara Mkoa wetu ulinzi na amani itaendelea kudumishwa"Alisema Mhe. Mkirikiti.


Alisema wale wote wenye nia mbaya endapo itabainika Mtu mmoja mmoja au kikundi cha watu wanazusha jambo ni vizuri wananchi wenye nia njema kutoa taarifa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ili waweze kuhakikisha maadui ambao wanania mbaya na taifa hili hawapati nafasi.


Mkirikiti akawaomba viongozi wa dini zote kuendelea kumwombea aliyekuwa Rais wa Tanzania Marehem John Joseph Magufuli na kuendelea kuwa ni vyombo vya kudumisha amani ikiwa ni pamoja na kutoa mafundisho kwa waumini wao yale ambayo yanawafanya watanzania kuwa na umoja zaidi na siyo vinginevyo.

Aliwataka vijana pia kutokupokea kila taarifa na kuzisambaza kwani wanatakiwa kupokea taarifa ambazo zitatoka kwenye mamlaka husika za serikali,hivyo wasikubali kupokea maneno ya uzushi ambayo  yanapenyezwa na watu ambao hawaitakii mema nchi yetu.

"Niwaombe wanasiasa huu ni muda wa kuwa pamoja zaidi kuliko kuwa ni watu ambao tunagawanyika" Aliongeza.

Pia akawataka watumishi wote wa serikali kuendelea kuhakikisha wanatoa huduma kwa jamii ikiwa ni maji,umeme na afya huku akisisitiza kuwa tayari kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wameshakutana kwa dharura na wamejipanga vyema kuhakikisha kila jambo linasimamiwa kama inavyotakiwa.

















Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Miaka Miwili ya Rais Samia Manyara ni Shangwe tupu Miradi ya Maendeleo

    March 18, 2023
  • SERIKALI YATOA MAAGIZO MGOGORO WA ARDHI KIRU

    February 13, 2023
  • MITI MILIONI 10.5 KUPANDWA MANYARA

    January 27, 2023
  • RC MAKONGORO AMESEMA WALIOCHAGULIWA WATAINGIA DARASANI BILA USUMBUFU WOWOTE

    January 23, 2023
  • Tazama Zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru 2022 Mkoa wa Manyara
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.