• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

USAID KUFADHILI MIRADI YA MAJI MANYARA

Imechapishwa Tarehe: July 25th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Cuthbert Sendiga leo Julai 25, 2024 amezindu Mradi wa USAID wa Rural Evidence and Learning for Water (REAL-Water) kupitia Mfuko wa Udhamini wa Ubora wa Maji nchini Tanzania, mpango huu unaolenga kusaidia vipaumbele vya Sekta ya Maji vya kutoa huduma za maji vijijini na kuhakikisha usalama wa maji kwa kuboresha mbinu za kupima na kutibu  maji ili yakifika kwa walaji yawe safi na salama.

Akiwa katika ufunguzi huo RC Sendiga ameihakikushia Real Water kuwa Mkoa wa Manyara kupitia RUWASA utatekeleza mradi huo kwa ufanisi mkubwa na  kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa ili mradi huu uweze kunufaisha Wananchi wa Mkoa wa Manyara. 

Aidha, RC Sendiga ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwavutia wafadhili pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya uboreshaji na usambazaji wa huduma za maji kwa ajili ya matumizi ua binadamu na mifugo. Ameeleza yote hayo yanafanyika kwa shabaha ya kumtua mama ndoo kichwani.

Sambamba na hilo ameipongeza USAID kwa kuwa miongoni mwa washirika wakubwa wa maendeleo wanaosaidia jamii ya Watanzania kwa kufadhili miradi ya Sekta mbalimbali  ikiwemo Elimu, Afya na Maji.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa huduma za sheria Wizara ya maji Ndg. Saimon Nkanyemka amesema Wizara itaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wote watakaojitokeza kushirikiana na Wizara ya maji kwenye utoaji na usambazaji

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.