• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Uwanja wa Ndege Manyara kuanza kujengwa

Imechapishwa Tarehe: March 5th, 2021

Mamlaka ya anga Tanzania imeanza mchakato wa ujenzi wa Uwanja wa ndege uliopo Kata ya Mwada Kijiji cha Mbuyuni Mkoani Manyara.

Hayo yamesemwa leo na Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bwana Musa Missaile alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya uwepo wa uwanja wa ndege Mkoani hapo kwenye kikao cha Bodi ya barabara kilichofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa.

Alisema kuwa kwa sasa Mkoa umeshapata eneo linakidhi vigezo kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege.

“Tumeshatembelea eneo hilo na kuna sehemu ya eneo limeenda hadi kwenye makazi ya wananchi kaya zaidi ya 80 na tumekubaliana nao kwasababu kuna eneo limebaki kubwa kwa upande wa chini ambalo ni eneo la serikali,walikuja wakalikagua wakaona wanaweza kulibadilisha kuwa eneo la makazi ili waweze kupisha ujenzi ufanyike kwa haraka na wananchi wamekubali kupisha ujenzi huo”alisema Missaile.

Alisema kukubali kwa wananchi hao kumepelekea wepesi kwa mamlaka ya hali ya anga ambapo mpaka sasa mamlaka hiyo imepeleka maombi  hazina kwa bajeti ya 2022/23 ili kuanza ujenzi huo mapema na hivyo kurahisisha usafiri wa wakazi wa Mkoa wa Manyara na watalii wanaokuja kutembelea mbuga mbalimbali za wanyama kama Tarangire,Ziwa Manyara na Ngorogoro iliyo karibu na Mkoa wa Manyara.

Mkoa wa Manyara ni miongoni mwa Mikoa michache ambayo haikuwa na viwanja vya ndege tangu kuanzishwa kwake,kuanzishwa kwa uwanja huo kutarahisisha shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi Mkoani hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.