• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Wabunge wapongeza mradi wa afya Babati.

Imechapishwa Tarehe: March 14th, 2020

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) jana tarehe 13 Machi, 2020 ilifanya ziara katika Mkoa wa Manyara kwa kutembelea miradi ya maendeleo iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati na Halmashauri ya Mji wa Babati.

Wakiwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati wabunge hao walitembelea Kituo cha Afya cha Nkaiti kilichopanuliwa kutoka zahati na kuwa kituo cha Afya. Wabunge hao walipongeza sana Serikali kwa kujenga kituo hicho karibu na jamii za wafugaji kwani kitaondoa usumbufu kwa wananchi kutembea umbali mrefu kufuata huduma.

 Kituo hicho cha Afya Nkaiti kimetumia jumla ya shilingi Milioni mia nne kwa kujenga jingo la Maabara, jingo la Mama na Mtoto, Nyumba ya kuhifadhia maiti na Nyumba ya Mtumishi.

Akiongea kuhusu changamoto za umeme katika kituo hicho Kaimu  Meneja wa TANESCO Mkoa wa Manyara amesema umeme unarajiwa kifika kituoni hapo ndani ya wiki mbili ili kuhakikisha huduma zote zinapatikana.

Mjumbe wa Kamati Mheshimiwa Chrispher Chiiza alishauri pamoja na uvunaji wa maji ya Mvua kituoni hapo lakini ipo haja ya Halmashauri kuhakikisha inachimba kisima ili kuwa na uhakika wa upatikanaji wa maji muda wote kwani maji ya mvua hayawezi kukidhi matumizi kwa mwaka mzima.

“Nawashauri Mchimbe kisima katika eneo hili ili kuwe na maji ya uhakika badala ya kutegemea maji ya Mvua kwani maji ya mvua hayawezi kukidhi mahitaji ya wagonjwa kwa mwaka mzima” Alisema Mheshimiwa Chiiza.

Kwa upande wa Mheshimiwa Mollel ambeye pia ni Mjumbe wa Kamati hiyo alishauri ifanyike tathmini ya maji kati eneo hilo kwani eneo hilo lina asili ya maji chumvi.

Pia  Wabunge hao walishauri njia za kutembelea kwenda kwenye Nyumba ya Kuhifadhia maiti ijengwe ili kuepuka ufumbufu.

Katika  mradi wa maji wa Minjinga- Darakuta wabunge hao walishauri kazi zinazoanzwa na wakandarasi zimalizwe ili kuepuka matumizi mabaya ya fedha za Serikali na gharama kubwa za mradi kwa kutumia wakandarasi zaidi ya mmoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.