• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

WAJASIRIAMALI MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUONGEZEA THAMANI MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MIKUNDE

Imechapishwa Tarehe: October 10th, 2025

Na, Ruth Kyelula, Manyara RS.


Wakulima Mkoani Manyara wametakiwa kuongeza thamani ya mazao ya mbogamboga na mikunde kwa kutengeneza bidhaa mbalimbali zinazotokana na mazao hayo ili waweze kupata masoko ya uhakika ya ndani na nje ya nchi badala ya kuuza mazao ghafi kwa bei ya chini.

Akizungumza katika mafunzo ya kuongeza thamani ya mazao ya mbogamboga na mikunde Oktoba 10, 2025, yaliyoandaliwa na Shirika la World Vegetable Center kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara pamoja na SIDO, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Faraja Ngerageza amesema itasaidia kuongeza thamani ya mazao yanayopatikana ndani ya Mkoa wa Manyara.

Kwa upande wake mtafiti mwandamizi wa Kitengo cha Uchumi Jamii kutoka Shirika la World Vegetable Center, Inviolata Dominic,amesema mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha wajasiriamali na wakulima  wanaotengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na mbogamboga na mikunde .

Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) Mkoa wa Manyara, Abel Mapunda amewataka wananchi kufika katika shirika hilo la kuhudumia viwanda vidogo, ili wajifunze ujasiriamali utakaowasaidia kuwainua kiuchumi. 

Afisa Biashara wa Mkoa wa Manyara, Ally Mokiwa, amesema mafunzo hayo yatawasaidia wajasiriamali na wakulima kuinua kipato chao kupitia ubunifu.Aidha alisema kuwa anategemea baada ya kutoka kwenye mafunzo hayo watakuwa na uwezo mkubwa wa kutengeneza malighafi zao.

Nao baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo ya usindikaji wa bidhaa za mboga mboga, wamesema mafunzo hayo yatawasaidia kiuchumi kwa kuongezewa thamani katika bidhaa zao na biashara zao.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • WAJASIRIAMALI MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUONGEZEA THAMANI MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MIKUNDE

    October 10, 2025
  • RAS MANYARA ASAPOTI MPANGO WA SHIRIKA LA EGPAF IFIKAPO 2028 ASIZALIWE MTOTO MWENYE HIV

    September 22, 2025
  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.