• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Wakuu wa Mikoa ya Kilimanjaro na Manyara waagiza

Imechapishwa Tarehe: July 17th, 2017

Maagizo ya Waheshimiwa wakuu wa Mikoa ya Manyara na Kilimanjaro kwa Halmashauri za Moshi, Mwanga na Simanjiro katika kusimamia utaratibu wa Bwawa la Nyumba ya Mungu ili shughuli za uvuvi ziwe endelevu na zenye tija.

  • Uundaji wa kamati za forodha BMU (Beach Management Unit) katika kila forodha/Mialo zinazotambulika na kupewa mafunzo.
  • Wavuvi wote lazima wazingatie taratibu za uvuvi zilizowekwa na vikundi vyao vya BMU katika mwalo/forodha husika.
  • Ni lazima vyombo vyote vya uvuvi (Ngalawa, Mitumbwi nk.) kusajiliwa sambamba na ukaguzi wa zana zote za uvuvi ufanyike.
  • Utoaji wa leseni mbalimbali za uvuvi (vyombo vya uvuvi, leseni za uvuvi na leseni ya biashara ya uvuvi) zitatolewa kwa wale ambao wamekidhi viwango vya kupewa lesseni hizo.
  • Vyombo vyote vya uvuvi (Ngalawa Mitubwi nk.) lazima viegeshwe kwenye forodha husika baada ya shughuli za uvuvi na chombo ambacho kitakutwa nje ya forodha husika kitachukuliwa hatua kali.
  • Wavuvi wote watashusha samaki katika mialo/forodha zinazotambulika rasmi atakayekiuka agizo hili atachukuliwa sheria ikiwa ni pamoja na kutaifishiwa samaki.
  • Wavuvi wote wavue samaki wenye ukubwa kuanzia nyanda tatu na kuendelea kama sheria na taratibu za uvuvi zinavyoelekeza.
  • Mtu yeyote haruhusiwi kumiliki, kutumia au kumwachia mtu mwingine kutumia Kokoro,Chandarua, Katuli, Kimia, kokoro ndogo kwa madhumuni ya uvuvi.
  • Samaki wabichi watasafirishwa ndani ya magari maalumu box board yenye barafu yaliyoandikwa maneno SAMAKI TU/FISH ONLY.
  • Ni marufuku kuchanganya mazao ya samaki pamoja na abiria au mizigo mingine yeyote.
  • Kukata ushuru wa samaki katika sehemu husika.
  • BMU na serikali za vijiji zitawajibika kuthibiti uvuvi haramu katika maeneo yao na pale watakaposhidwa kutekeleza agizo hili Afisa Mtendaji wa kijiji mwenyekiti wa kijiji na mwenyekiti wa kitongoji husika hatua kali za kisheria zitachukiliwa dhidi yao.
  • Hairuhusiwi mtu kumiliki sehemu yeyote ya maji (WERA) na ikibainika hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake ikiwa ni pamoja na kuzuiliwa kujihusisha na shughuli za uvuvi pamoja na kifungo cha miezi sita au faini isiopungua milioni moja.
  • Wachuuzi wote na wavuvi watawajibika kulipa ushuru wa samaki. Mchuuzi ambaye atakwepa kulipa ushuru huo pindi akibainika na kukamatwa hatua kali zitachukuliwa ikiwa pamoja na chombo cha usafiri kupigwa faini na pia samaki wake watataifishwa.
  • Wakurugenzi wapeleke nakala ya sheria za uvuvi katika kila ofisi ya Mtendaji wa Kijiji kinachohusika na maeneo ya uvuvi ili kuwaelimisha wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.