• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Ziara ya Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Bi. Karolina Mthapula katika Wilaya ya Simanjiro

Imechapishwa Tarehe: October 1st, 2023

Kuelekea kilele cha Mbio  za Mwenge wa  Uhuru 2023 Katibu Tawala Mkoa wa Manyara  Bi. Karolina  Mthapula ameendelea  na ziara ya ukaguzi wa miradi itakayo zinduliwa na Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Simanjiro akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Simanjiro pamojana na Mkuu wa Wilaya hiyo Dk Suleiman  Selela.

Katika ziara hiyo Katibu Tawala ametembelea  Kata ya Kitwai katika kijiji cha Lodrekes ambako yatafanyika makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru ukitokea  Wilaya ya Kiteto. Amefanya mazungumzo na wanakijiji cha Lodrekes akiwataka kujitokeza kwa wingi katika kuupokea Mwenge wa Uhuru utakapo wasili eneo hilo.

Aidha amefanya ukaguzi wa mradi wa barabara ya Jamhuri inayotarajiwa kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru Barabara iliyojengwa kwa kiwango cha rami, ambapo ujenzi wa barabara hiyo ni hatua ya kuboresha  Halmashauri ya Simanjiro ujenzi huo umehusisha ujenzi wa karavati  laini 9  ujenzi wa barabara hiyo umegarimu Milioni 572 ambapo barabara hiyo itaongeza  mtandao wa barabara  katika makao makuu ya Wilaya Simanjiro  (Orkesumet) eneo ambalo ni makao makuu ya Wilaya hiyo.

Pia amefanya ukaguzi wa soko la Wilaya  katika eneo lenye mradi wa uhifadhi taka sambamba na hilo amekagua eneo lenye mradi wa utunzaji wa  mazingira  ambako kunashughuli za upandaji miti eneo lenye hekali 5 ambapo matarajio makubwa katika mradi huo nikuwa eneo la mfano katika shughuli za utunzaji wa mazingira ambapo  imepanda miti 127 katika eneo hilo.


Vilevile ametembelea  nakufanyaukaguzi katika Hospitali ya Wilaya ya Simanjiro ujenzi wa mradi huo ulianza 28/3/2022 ujenzi huo nipamoja na jengo la wagonjwa mahututi (ICU) ujenzi huo utasaidia kusogeza huduma za Afya kwa wananchi wa Wilaya ya Simanjiro  aidha Katibu Tawala Mkoa wa Manyara amefurahishwa na mradio huo kwa jinsi unavyoendelea.

Ametembelea nakufanya ukaguzi wa mradi wa josho ya kuoshea G’ombe  iliyopo katika kijiji cha Ormoti  ambapo josho hiyo itakuwa ikitumika kuoshea G’ombe zaidi ya elfu 21 mradi huo utasaidi kuepusha magonjwa ya mlipuko yanayo sumbua wafugaji katika kijiji cha Ormoti na kijiji cha  Namalulu. Pia amefanya ukaguzi wa mradi mkubwa wa maji uliyokuwa ukitekelezwa na RUWASA katika Kata ya Emboreet amewashukuru  RUWASA kwa mradi huo utakao ondoa tatizo la maji katika Kata hiyo na vijiji yake.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.