• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

Ziara ya Mhe.Profesa Joyce Ndalichako Mkoani Manyara.

Imechapishwa Tarehe: August 28th, 2023
Na. Phabian Isaya

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri  Mkuu kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu Mhe. Profesa Joyce Lazaro Ndalichako. Amefanya ziara ya ukaguzi wa maandalizi ya shughuli za kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru  zinazo tarajiwa kufanyika  tarehe 14 Oktoba mwaka 2023  Mkoa Manyara.Kabla ya ziara ya ukaguzi wa maandalizi  Mh. Profa Joyce Ndalichako  amefanya  kikao na uongozi wa  Mkoa wa Manyara  kikao hicho kimefunguliwa na  Katibu Tawala  Mkoa wa manyara. Mhe. Karolina  Mthapula  katika ufunguzi wa kikao hicho ameipongeza Serikali kuleta shughuli za kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru  Mkoa wa Manyara.

Katika kuwasirisha taarifa fupi ya maandalizi mratibu wa mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Manyara Samwel Pastory  ameeleza kuwa  maandalizi yanaendelea vizuri na yako kwenye hatua inayoridhisha. Akielezea kuhusu eneo muhimu la uwanja wa Kwaraa ambao ndio shughuli hiyo muhimu kitaifa itakapofanyika  ameeleza juu ya ukamilishaji wa baadhi ya vitu kwenye uwanja huo ikiwa nimaendeleo mazuri yanayo onekana.

Pia Mhe. Joyce Ndalicahko amesema Uwanja wa Kwaraa umefikia hatua nzuri na  mategemeo yake nikuona wananchi wa Mkoa wa Manyara  wakijitokeza kwa wingi katika sherehe za kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru amepongeza ushirikiano uliyopo kati ya Serikali na Taasisi za Serikali zilizo Mkoa wa Manyara. 

Katika ziara hiyo ametembelea uwanja ambao utafanyika uzinduzi wa maonesho ya wiki ya vijana kitaifa  eneo la stendi ya zamani, Shule ya Sekondari Babati Day ambako mafunzo ya halaiki yanayoendelea. Pamoja na kanisa la Roho Mtakatifu ambalo litatumika katika ibada ya maadhimisho la Misa Takatifu kwa ajili ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius  Kambarage Nyerere.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA LISHE.

    September 12, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MANYARA ATETA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSIANA NA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • RC SENDIGA AWATAKA WAMILIKI WA MIGODI SIMANJIRO KUJIKITA KATIKA KUPUNGUZA UGONJWA WA TB NA SILICOSIS

    October 20, 2025
  • WAJASIRIAMALI MKOA WA MANYARA WATAKIWA KUONGEZEA THAMANI MAZAO YA MBOGAMBOGA NA MIKUNDE

    October 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.