• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

PICHA ZA ZIARA YA MAKAMU WA RAIS HANANG

  • Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan ukiingia huko Endagaw wilaya ya Hanang kwa ajili ya kukagua ghala la kuhifadhia mazao 18 Novemba,2018.

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akiongea kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea ghala la kuhifadhia mazao huko Endagaw 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi wa Endagaw alipotembelea ghala la kuhifadhia mazao 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi wa Endagaw alipotembelea ghala la kuhifadhia mazao 18 Novemba,2018.

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nangwa wakimkaribisha kwa shangwe Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shule hiyo 18 Novemba,2018.

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nangwa wakimkaribisha kwa shangwe Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shule hiyo 18 Novemba,2018.

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nangwa wakiwa nje ya bweni la wanafunzi lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shule hiyo 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara walihudhuria uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul (kushoto) akiwa na Mjumbe wa UWT Taifa Bi Zainab Zuberi wakiwa katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul (kushoto) akiwa na Mjumbe wa UWT Taifa Bi Zainab Zuberi wakiwa katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul (kushoto) akiwa na Mjumbe wa UWT Taifa Bi Zainab Zuberi wakiwa katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul (kushoto) akiwa na Mjumbe wa UWT Taifa Bi Zainab Zuberi wakiwa katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul (kushoto) akiwa na Mjumbe wa UWT Taifa Bi Zainab Zuberi wakiwa katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara walihudhuria uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara walihudhuria uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara Mh. Saimon Lulu akiwa na Mbunge wa Viti maalum CCM Mh. Ester Mahawe walihudhuria uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akisalimia na Walimu wa Shule ya Sekondari Nangwa alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nangwa wakimkaribisha kwa shangwe Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shule hiyo 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni alipotembelea shule ya Sekondari Nangwa 8 Novemba,2018.

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nangwa wakimkaribisha kwa shangwe Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shule hiyo 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni alipotembelea shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Mkuu wa Shule ya Sekondari Nangwa akisoma taarifa juu ya ujenzi wa bweni la Wanafunzi kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo18 Novemba,2018.

    Mkuu wa Shule ya Sekondari Nangwa akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo18 Novemba,2018.

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akiongea kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea Shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiongea na wanafunzi na wananchi alipotembelea Shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara Mh. Saimon Lulu (kulia) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh. Alexander Mnyeti katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara Mh. Saimon Lulu (kulia) akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bw.Missaile Musa katika uzinduzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Nangwa lililozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea shuleni hapo 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Viti maalum CCM Mh. Ester Mahawe (katikati) akiongea kuchangia harambee iliyoanzishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia ujenzi wa bweni katika shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Hanang Mh.Dkt. Mary Nagu (kulia) akiongea kuchangia harambee iliyoanzishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia ujenzi wa bweni katika shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Hanang Mh.Dkt. Mary Nagu (kulia) akiongea kuchangia harambee iliyoanzishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia ujenzi wa bweni katika shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh.Pauline Gekul (katikati) akiongea kuchangia harambee iliyoanzishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia ujenzi wa bweni katika shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bw.Missaile Musa(mwenye suti nyeusi) akiongea kuchangia harambee iliyoanzishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia ujenzi wa bweni katika shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Jiwe la msingi la ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari Nangwa lililowekwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa bweni katika Shule ya Sekondari Nangwa 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara na wananchi walihudhuria uzinduzi wa Mradiwa Maji huko Basutu uliozinduliwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara na wananchi walihudhuria uzinduzi wa Mradi wa Maji huko Basutu uliozinduliwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara na wananchi walihudhuria uzinduzi wa Mradiwa Maji huko Basutu uliozinduliwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh. Alexander Mnyeti wakati wa uzinduzi wa maradi wa maji wa Basutu 18 Novemba,2018.

    Mhandisi wea Maji Wilaya ya Hanang akisoma taarifa juu ya mradi wa maji wa Basutu kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Mhandisi wea Maji Wilaya ya Hanang akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kusoma taarifa ya mradi wa maji wa Basutu 18 Novemba,2018.

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akiongea kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan alipotembelea Basutu 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi alipotembelea Basutu 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Manyara na wananchi walihudhuria uzinduzi wa Mradi wa Maji huko Basutu uliozinduliwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya wananchi walihudhuria uzinduzi wa Mradi wa Maji huko Basutu uliozinduliwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa maji wa Basutu 18 Novemba,2018.

    Jiwe la msingi la ujenzi wa Mradi wa maji wa Basutu lililowekwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan 18 Novemba,2018.

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexander Mnyeti akiongea kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Viti Maalum Mh.Martha Umbullah akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Viti Maalum Mh. Martha Umbullah akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Viti Maalum Mh.Ester Mahawe akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Viti Maalum Mh.Ester Mahawe akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh. Pauline Gekul akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh. Pauline Gekul akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh. Pauline Gekul akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Babati Mjini Mh. Pauline Gekul akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Hanang Mh. Dkt. Mary Nagu akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mbunge wa Hanang Mh. Dkt. Mary Nagu akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara Mh. Saimon Lulu akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara Mh. Saimon Lulu akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara Mh. Saimon Lulu akiongea kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwaaga wananchi waliohudhuria mara baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Katesh 18 Novemba,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.