• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

Njooni muwekeze Manyara- RC Manyara

Imechapishwa Tarehe: December 22nd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joseph Mkirikiti amewashauri wawekezaji kutoka Tanzania na nje ya Tanzania kuja kuwekeza mkoani Manyara kutokana na uwepo wa fursa mbalimbali za uwekezaji zipatikanazo mkoani humo.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo leo alipokuwa akifungua kikao cha Kamati ya ushauri wa Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkuu wa Mkoa kwa kusema kuwa Pamoja na Mkoa huo kuwa ni Mkoa wa tatu kwa ukubwa nchini  kuna  rasilimali za kutosha katika sekta za Madini,Utalii,Mifugo,Uvuvi, Kilimo hivyo kuwataka wajumbe wa kikao hicho kujipima ili kujua jinsi gani ya kutafuta wawekezaji kwenye Mkoa huo ili kuleta maendeleo katika Mkoa wa Manyara.

“Ni vizuri tukajadiliana na kila mmoja wetu akajipima ili tukauweka Mkoa wetu kuwa katika namna bora Zaidi” Alisema Mhe.Mkirikiti.

Vilevile Mhe. Mkuu wa Mkoa aliwataka viongozi kujenga mahusiano mazuri ya kazi kati  Viongozi na wawakilishi wa wananchi ili kujua matatizo mbalimbali yanayowakabili kwa lengo la kuwaletea maendeleo katika maeneo mbalimbali.

Mkuu huyo wa Mkoa alitaka wajumbe waliohudhuria kikao hicho kujadiliana kwa kina katika kila sekta kuanzia kwenye Mifugo,Kilimo, uvuvi ili tija kwa wananchi wa Mkoa wa Manyara.

“Niwaombe sana wajumbe tutumie kikao hiki vizuru, tujadiliane kwa  uwazi, bila shaka nina Imani tukiangalia yale yaliyojadiliwa na wenzetu katika vikao vilivyopita tukaweka nay a kwetu Pamoja na kuweka dira yeti bila shaka tutafanikiwa kama Mkoa” Alisisitiza Mhe.Mkirikiti.

Akizungumzia njia mbalimbali za kutatua changamomoto zilizopo katika Mkoa wa Manyara Mhe. Mkirikiti aliwata wajumbe kujadiliana kwa kina juu ya changamoto mbalimbali zikiwemo za migogoro ya ardhi Pamoja na changamoto za zizopo katika Madini, Kilimo,Utalii, mifugo, na sekta ya Elimu na kuzitafutia suluhisho la kudumu ili wananchi waone jinsi Serikali yao inavyowatumikia kwa moyo mmoja.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Vijana Kiteto wanufaika na Mikopo ya Halmashauri

    January 05, 2021
  • Babati watakiwa kuchangamkia Mikopo ya Serikali

    January 04, 2021
  • Waziri wa Kilimo awataka Wakulima wa ngano kuongeza uzalishaji

    December 24, 2020
  • Njooni muwekeze Manyara- RC Manyara

    December 22, 2020
  • Tazama Zote

Video

Nangwa Sekondari katika muonekano mpya
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2020 Manyara Region . All rights reserved.