• Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • e-Mrejesho |
Manyara Regional Secretariat
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Video
    • Habari

MNYETI AWATAKA MAAFISA ARDHI KUMALIZA MIGOGORO MANYARA

Imechapishwa Tarehe: August 30th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Manyara amewataka Maafisa Ardhi wake kuhakikisha wanamaliza migogoro ya Ardhi kwa wananchi ili kuwafanya wananchi wa Mkoa wa Manyara kuishi bila migogoro katika Mkoa huo.

Hayo aliyasema Leo wakati wa kikao cha Maafisa Ardhi wa Halmashauri zote saba zilizopo katika Mkoa huo.

Katika kikao hicho Mh.Mnyeti alisema kuwa Mkoa wa Manyara ni miongoni mwa Mikoa  inayoongoza kwa migogoro ya Ardhi nchini Tanzania kwa hivyo ni lazima Maafisa Ardhi wahakikishe wanamaliza migogoro hiyo angalau kwa asilimia themanini.

“Sasa hivi tukigundua Afisa Ardhi amesababisha migogoro isiyokuwa na maana hatutamuhamisha bali atashughulikiwa katika Halmashauri hiyo aliyovurunda” Mh. Mnyeti alisisitiza.

Pia katika kikao hicho aliwakikishia wananchi wa Maisaka Katani kuwa ifikapo Octoba 26 watapatiwa Hati Miliki za maeneo yao kama alivyoiagiza Halmashauri ya Mji wa Babati alipofanya ziara katika ziara yake katika Halmashauri hiyo.

(Baadhi ya wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mh.Alexander Mnyeti wakifuatilia kikao cha Mkuu Mkoa wa Manyara akiongea na Maafisa Ardhi wa Mkoa wa Manyara 30 Augusti,2018.)

(Mkuu wa Mkoa wa Manyara (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Ardhi wa Mkoa wa Manyara 30 Augusti,2018.)

(Kwa Picha mbalimbli na Video za matukio angalia Kituo cha Habari kisha nenda Maktaba ya Picha na Maktaba ya Video)

Imeandikwa Na: Haji Athumani (Afisa Habari Mkoa wa Manyara)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - BABATI MJI June 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - BABATI MJI June 17, 2022
  • NAFASI ZA KAZI - HALMASHAURI YA MJI WA BABATI May 24, 2022
  • Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo Kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana Na Watu Wenye Ulemavu May 17, 2019
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA 39 CHA RCC MKOA WA MANYARA

    February 20, 2025
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA MANYARA

    February 19, 2025
  • RC SENDIGA AZINDUA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA MKOANI MANYARA

    November 20, 2024
  • TIMU YA USIMAMIZI WA AFYA MKOA WA MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUKABILIANA NA DHARURA ZA KIAFYA NA MAJANGA

    November 14, 2024
  • Tazama Zote

Video

Vuta Pumzi, Funguka, Ongea na Mkuu wa Mkoa
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2022 Manyara Region Secretariet . All rights reserved.