• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Huduma za Maji
    • Kitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma ya Maji
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Makubaliano ya Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

AFISA HABARI WA WIZARA ALIYEFARIKI MANYARA AZIKWA KIJIJINI KWAO

Imechapishwa Tarehe: August 5th, 2018

Afisa Habari wa wizara ya maliasili na utalii, Bw.Hamza Temba  aliyefariki tarehe 4/8/2018 magugu mkoani Manyara katika msafara wa waziri wa wizara ya maliasili na utalii Mh. Hamis Kigwangalla uliokuwa njiani kutoka Arusha kwenda Dodoma ,amezikwa siku ya jumapili tarehe 5 /8/2018 kijijini kwao Masama wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.

Serikali kupitia mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Anna Mghwira iliwasilisha salamu za rambirambi kwa familia ambapo mkuu wa mkoa aliwasihi wafiwa kuwa na subira na kuzidi kufanya ibada  katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na ndugu yao.Pia aliwataka waombolezaji kumuombea marehemu dua njema. Mkuu wa wa Mkoa aliwasisitiza vijana kuwa waadilifu na kufanya kazi kwa bidii katika jamii kama alivyokuwa Bw. Hamza. ” Vijana ndio tumaini letu nanguvu kazi ya taifa.”Mkuu wa mkoa alisisitiza.

Huu ni msiba wa pili baada ya Afisa Habari wa wizara ya viwanda,biashara na uwekezaji Bw.Shadrack Sagati kufariki kwa ajali.Marehemu ameacha mke na mtoto mmoja.

(Kwa picha mbalimbali na video za matukio yote ya Mazishi angalia kituo cha Habari sehemu ya maktaba ya picha na maktaba ya video)

‘BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA’

Imeandikwa na: Isabela Joseph (Mwanafunzi wa UDSM(SJMC)- Mafunzo kwa vitendo)

Matangazo

  • RATIBA YA MITIHANI KIDATO CHA SITA 2019 February 08, 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019 MANYARA December 17, 2018
  • Matokeo upimaji Kidato cha Pili 2018. January 05, 2019
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • Jafo Akabidhi Bilioni 137 kwa Mikoa 8

    February 07, 2019
  • Jafo aonyesha mfano wa matumizi bora ya Force Account

    February 07, 2019
  • Jafo alaani watumishi kutumia nguvu dhidi ya wananchi

    February 06, 2019
  • Misri kuwekeza kwenye kilimo nchini

    February 06, 2019
  • Tazama Zote

Video

Manyara ya pili Kitaifa Miradi ya Maendeleo
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Singida Road

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara@manyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Waliotembelea

https://Dissertation-Writingservice.com

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki zote zimehifadhiwa @2017 Mkoa wa Manyara