• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara (MMM) |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Manyara Regional Secretariat

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Sehemu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za Elimu
      • Serikali za mitaa
      • Huduma za Afya
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Uhasibu
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Mji wa Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Babati
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hanang'
    • Halmashuri ya Wilaya ya Mbulu
    • Halmashauri ya Mji Mbulu
    • Halmashauri ya wilaya ya Kiteto
    • Halmasahuri ya Wilaya ya Simanjiro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Kilimo
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Huduma kwa wateja
    • Huduma kwa wafanyakazi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogondogo
    • Ripoti
    • Mpango Kazi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu za Kujiunga na Bangdalalu Sekondari
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Habari
  • Blog

RUWASA Manyara yapongezwa

Imechapishwa Tarehe: September 16th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Joseph Mkirikiti amewapongeza wafanyakazi wote wa Wakala wa Maji Vijijini RUWASA Mkoa Manyara kwa kujitahidi kufikisha huduma ya maji Mkoani humo.


Mhe.Mkirikiti ametoa pongezi hizo leo alipokuwa akipokea taarifa ya ukaguzi wa miradi ya maji  Mkoani humo katika kikao Kati yake na wafanyakazi wote wa Mamlaka hiyo Mkoani humo kilichofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Akisoma taarifa ya miradi ya maji Mkoani humo Meneja wa RUWASA MKoa wa Manyara Mhandisi Wolta Kirita amesema kuwa mkoa wa Manyara umetengewa Shilingi Bilioni 13.4 kwa ajili ya kukamilisha miradi 45 kwenye Wilaya zote za Mkoa na miradi na mara baada ya miradi hiyo kukamilika na vituo 632 vitakarabatiwa na kujengwa na kuwanufaisha watu zaidi ya 156,903 na mara baada ya kukamilika itapunguza Vijiji visivyo na maji kutoka 163 hadi 118.

Pamoja na kutoa taarifa ya miradi hiyo na kuonesha jinsi RUWASA inavyofanya ili kuhakikisha wanatimiza ahadi ya Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli ya kumtua Mama ndoo kichwani Meneja wa RUWASA Mkoa alisema wanakumbana na tatizo la umeme.

"Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa pamoja kuhakikisha tu maji yanafika katika maeneo mengi ya mkoa wetu lakini kuna changamoto ya umeme katika baadhi ya vituo"Alisema Mhandisi Kirita.

Mara baada ya kopokea taarifa hiyo Mkuu wa Mkoa Mhe.Joseph Mkirikiti amewapongeza RUWASA kwa kufanya kazi kwa bidii na sehemu kubwa ya Mkoa wa Manyara unapata huduma ya maji.

"Kiukweli RUWASA katika Mkoa wetu mnafanya kazi nzuri mno na mnahitaji pongezi"Alisema Mhe.Mkirikiti.

Pamoja na kutoa pongezi hizo alizitaka taasisi nyingine zote zilizopo Mkoani Manyara kuhakikisha zinaiga kutoka kwa RUWASA katika kuwapa Wananchi huduma nzuri.

Baada ya kusomewa taarifa ya miradi katika Mkoa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa alitembelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang kwa kutembelea Dawar,Hilbadaw, Waranga na Endagaw kuangalia jinsi miradi ya maji inavyotekelezwa na kuwafikia Wananchi ili kuondoa tatizo la maji Mkoani Manyara.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kesho ataendelea kukagua miradi ya maji Mkoani humo kwa kutembelea Wilaya ya Mbulu.



Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MKOA WA MANYARA December 18, 2020
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI October 21, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2018 MKOA WA MANYARA December 27, 2017
  • OR-TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI JULAI 2018 July 17, 2018
  • Tazama Zote

Habari mpya

  • RC Manyara amaliza Mgogoro wa ardhi baina ya mwekezaji na wananchi

    September 01, 2021
  • Mkirikiti amkabidhi Makongoro Ofisi rasmi

    May 25, 2021
  • Karibu Manyara Mhe. Makongoro Nyerere!!!

    May 22, 2021
  • Tuweke uzalendo ktk kusajili watoto chini ya miaka mitano - RC Manyara

    April 20, 2021
  • Tazama Zote

Video

Asilimia mbili ya mikopo kwa walemavu
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Miongozo ya OR-TAMISEMI
  • Kanuni za Uchaguzi
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi
  • Mwongozo wa OPRAS
  • Maadili
  • Fomu za Opras
  • Fomu ya Ugonjwa

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Barabara ya Babati - Singida

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 310

    Simu ya mezani: 027-2510066

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: rasmanyara.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Ramani Elekezi

Copyright ©2021 Manyara Region . All rights reserved.