Zaidi ya wakazi 320 wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wamepatiwa huduma ya afya kwa kupimwa na kupewa matibabu bure kwenye shule ya awali na msingi ya Blue Tanzanite.
Mkuu wa Mkoa wa Babati Mh.Alexander Mnyeti amempongeza Mkuu wa Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika Bw.Daniel Luther katika Halmashauri ya Mji wa Babati kwa kazi nzuri ya kuendeleza Kilimo katika Halmashauri hiyo!!
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mh.Suleiman Jaffo amefanya ziara ya siku moja Mkoani Manyara na kuzungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang na kuwataka waache migogoro baina yao ili wawatumikie wananchi.
Copyright ©2021 Manyara Region . All rights reserved.